Mara moja moja tembelea CTC, utanishukuru

Mara moja moja tembelea CTC, utanishukuru

Umeongea point sana, kwa ambao hawajawahi kwenda hawawezi kukuelewa, nakumbuka niliwahi kufata PEP kule, ebana kuna pisi za shule ya msingi na sekondari zinakula njugu, kuna pisi under 30 ukiziona mtaani unajua umepata tena unawaambia masela hii pisi nakula kavu niifaidi, naipakia na mkongo kumbe unajikaanga kwa mafuta yako. Mungu atulinde tu kwa kweli.
Ni hatari sana mkuu
 
Back
Top Bottom