[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Amepost huku anatetemeshwa na tetemeko
Wabongo shikamoo😂🙌🏾🙌🏾Lina uhusiano wowote na yanayoendelea nchini sasa hivi?
Labda ni ishara maalum!
Kitu kama salam hivi!
Jamaa wa Butiama akimpelekea ujumbe yule wa Chato!
Kweli kabisa mkuuMko faster sana, yaan linatingisha wewe upo bize kupost, mm nimeshtuka hapa nawaza namna ya kujiokoa hata simu nisingeweza kuichukua
Aiseee imebidi tu niamke[emoji1784]
No tsunami warning mkuu??
No tsunami warning mkuu??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaniMABEBERU wanatuonea wivu,
Wapi hukohuku shwari kabisaa.nahisi ni mikoa ya mwambao wa ziwa Victoria,ndo limepita.