Mara (na maeneo jirani): Muda wa saa 4:47am tetemeko limepita

Atafutwe Mshana atoe maelezo kuhusu hilo tetemeko na yanayoendelea nchini kama kuna uhusiano wowote, na kwanini iwe kanda ile ile anayotokea jamaa yetu na kitovu cha tetemeko kiwe nyumbani kwa baba wa taifa.
 
Poleni .Dak 3!! muda ni mrefu Sana huo.huo mjengo ulimo ungekuwa flat,muda huu.la sivyo Basi ulijengwa haswa.
 
Yap ni kweli tetemeko limechukuwa muda na pia tusubiri kukuche labda kutakuwa na madhara ndo tutajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…