Tunatishana sanaaa.
JPM 2021
Kama limeanzia Butiama, ipo shida mahali
"Tumtangulize Mungu"
In Jiwe's melody
Mkuu unauliza kuna nini wakati wewe mwenyewe umesema kuna tetemeko?Tena limerudi tena kwa sekunde,SAA 11:23 ,kuna nini? ,ila lilikuwa kwa mbali kidogo
Jiwe siku ya kutolewa roho atahangahika mithili ya kuku anayechinjwa.Mungu hashindwi
Anauliza kuna nini mbona limerudia mara ya piliMkuu unauliza kuna nini wakati wewe mwenyewe umesema kuna tetemeko?
Kwamba ni Baba wa Taifa katuma salamu auKama limeanzia Butiama kuna shida Mahali
Shindwa 😆 kile kimbunga tu kilipitaga kikafanya mchana uwe jioni, anga halitizamiki hapakukalika. Sembuse tetemeko
Asante kwa kunisaidia kutoa ufafanuziAnauliza kuna nini mbona limerudia mara ya pili
Kuna kitu hakipo sawa TanzaniaKama limeanzia Butiama kuna shida Mahali