Mara nyingii nyakati za usiku nimekuwa nikiota ndoto nikiwa naongoea na watu waliokufa hasa baba yangu mzazi

Basi ni umejaaliwa kuwa na maono, usikereke mbona ni kitu kizuri tu.... kitumie tu vizuri.
 
Shida kubwa hamaomi vitabu.
Ndoto zinamaaba halisi kabsa kwenye maisha ya mwanadamu kwa mfano wew hapo hizi ndot unazoota zinamaana kabsa kwenye maisha yako.
.
Sina haja ya kukwambia zinamaana gani chakufanya tafuta vitabu vya ndoto vya mwakasege vitakufundisha vzr hizo ndoto zinamaana gani...
 
Kuota
Kumuota baba yako mzazi au baba yako mdogo unaonge nae ni dalili yao hao wazazi wako wanatakiwa uwaombee dua umewasahau siku nyingi hujawaombea dua waombee dua aka maombi. NA Ukiota upo shuleni na unaamka unastuka ni dalili mambo yako yanaharibika kimaisha mtafute mtu akufanyie dua aka maombi ili mambo yako yawe mazuri yasije kuharibika.
 
hua wanasema ukiwa na kipawa cha maono usimwambie kila mtu,,kama ni mkristo utakua umesoma kwenye biblia,, Yusuf alipowaambia ndyguze kuhusu maono yake, tazama fitina walizomfanyia.
 
Dah....! Mungu akusaidie...!

Hizo Ndoto sio za kawaida, una Changamoto za Kiroho, Mzazi wako na Mdogo wako hawakufa vifo vya kawaida...!

Umekua connected na Mizimu ya kwenu, itakusumbua Sana usipochukua hatua...!

Anza kufanya Maombi ya Nguvu kama wewe ni Mkristo, ukifunga pia....! Vunja Hiyo connection, coz kwenye Biblia inasema hakuna Communication na walio kufa, ukiona inakuepo, ujue haupo salama!

Naongea Kwa Uzoefu...!!
 
Una roho ya unabii. Kama vipi tufanye mpango tufungue kanisa tu. Wewe utahubiri na kutabiria watu mimi nitafundisha vipindi vya vijana, mambo ya ndoa na kutunza pesa. Miaka mitano tu tunakuwa mamilionea tena wa US $. Unasemaje? 😁😁😁
 
hua wanasema ukiwa na kipawa cha maono usimwambie kila mtu,,kama ni mkristo utakua umesoma kwenye biblia,, Yusuf alipowaambia ndyguze kuhusu maono yake, tazama fitina walizomfanyia.
Ni kweli huchelewi kuitwa mchawi,
 
Ndoto hizo ni kawaida kwa wapendwa wako sababu ni watu umeishi nao muda mrefu.
 
Mkuu, mambo uliyoeleza yanafanana na mimi 95%. Lakini nikupe moyo hakuna kitu kibaya wala usiwe na hofu juu ya lolote
Mimi pia mzee wangu katangulia mbele ya haki na ninapomuota mara kwa mara huwa nachoma ubani na kusoma dua...
 
Ni kweli niliota nipo shule o_level tunafanya mtiani wa chemistry na mdogo angu Kuna swali lilinishinda akawa ananisaidia majibu..

Jion yake nikagongwa na gari nikavunjika mguu after two weeks mdogo angu na yeye akapata ajar akavunjika pia...
 
Nenda google
 

Attachments

  • Screenshot_20240629-230232_1.jpg
    53.8 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…