Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Sio bure kuna sehemu una shida au ni ujuaji umekuzidi huwezi fikiria hata huu uzi upo jukwaa gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
And hiyo ina suppose to mean what?
Kwamba ni sahihi ku-think hizi wishful thinking kama tupo la Pili?
Society inapofanya vitu kwa wingi na ni vya hovyo hua wanadhani ni sahihi!
Group ignorance ndio hii
Nawaza tuu!
Utakua ndio mwisho wa maendeleo ya Teknolojia.
Vita kila mahali
Na si ajabu maisha yakawa magumu na ya hatari zaidi ya ilivyo sasa.
Na Hapo Ndipo Tutakapo Amini MZUNGU Ukitoa 'Z' ni MUNGU!
Uzi Tayari!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaza tuu!
Utakua ndio mwisho wa maendeleo ya Teknolojia.
Vita kila mahali
Na si ajabu maisha yakawa magumu na ya hatari zaidi ya ilivyo sasa.
Na Hapo Ndipo Tutakapo Amini MZUNGU Ukitoa 'Z' ni MUNGU!
Uzi Tayari!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umri wa Mwisho kufanya Mzaa ni Upi Mkuu?Mtu ana 30yrs ana mzaha?
Mzaha huu?
Kuna mizaha ya 30yrs olds ila si hizi wishful thinkings!
Duuh! Pole Mr Kama nimeingilia Maslahi yako, uskute kuna watu wanalelewa na Madodo humu, kwahiyo Uzi kama huu wakiuamini unakua Habari Mbaya sana Kwao.Kupunguza stress ni kufanya ujinga?
Kanye barabarani basi tujue umefanya ujinga hasa na unatoa stress hasa!
If you wanna be a monkey ,be a gorilla kabisa!
kinachoendelea wapi ambapo katika nchi yako au africa au kwa watu weusi hakiendelei?Kutuma Uzi kama huu kipindi hiki ambacho wote tunajua kinacho endelea huko kwenye nchi za wenzetu sio sawa... Kuna utani huwa hauvutii kutokana na kushindwa kusoma alama za nyakati.
Hivi ingekuwa ni Afrika ndio tunaongoza kwa vifo alafu mzungu aposti kitu kama hichi kwenye social media ingekuaje?... Nadhani kingekua too viral na waafrika tungelalamika sana, Embu tujifunze kuvaa viatu vya watu wengine kwanza kabla ya kupost
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umepotea jukwaa?Hizi fantansies za kipumbavu sana
Badala tukae na kujengea our own civilization,tuko hapa tukapiga stori za kipumbavu sana kama zile tukiwa la pili au la tatu!
Mentality za ajabu sana hizi,za kua na ndoto ya kwenda kulowea alichojenga superior race zaidi yako!
Upumbavu ulioje!
Nimewaza ,nikaona Kuna ukweli ndani yakeNawaza tuu!
Utakua ndio mwisho wa maendeleo ya Teknolojia.
Vita kila mahali
Na si ajabu maisha yakawa magumu na ya hatari zaidi ya ilivyo sasa.
Na Hapo Ndipo Tutakapo Amini MZUNGU Ukitoa 'Z' ni MUNGU!
Uzi Tayari!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Utanunua kwa nani wakati wote hawapo! Ndoto za mchana baada ya shibe zinasaidia kupunguza stress.Itafika mahali sisi waafrika tutaenda kununua nyumba na kushika viwanja china na mataifa mengine huko