bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Hiiii yani Jiwe na mwanae wakuachie kizembe hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
huu ududuna wa mwafrika baanaa hahahahah ok hati miliki za bilgeti na wale jamaa wa epo zote za kwangu. hati miliki za teknolojia y satellites na teknolojia yote inauohusu mambo ya anga na nucler system nimewahi ni vya kwngu na ukoo wngu. vilivyobaki vyote chukueni
hapo namaanisha NASA , INTERNATIONAL SPACESTATION, KAMpUNI ZA ELON, VYYOTE CHINI YA UMILIKI WANGU
Sent using Jamii Forums mobile app