Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Nitakosa raha,,usiku Utakuwa mrefu,,simu yangu huwa inanibembeleza,inanichekesha nikiingia zangu insta,WhatsApp
Alieleta smartphone abarikiwe maana imetufanya wengine tutulie majumbani,umbea tunaupiga huku tumekaa nyumbani,,,pia bila kusahau kusutana ni kwenye simu tu,kupata habari mbali mbali,,na mengine mengii
Simu kwangu ni kila kitu inanipa raha
Kuna watu humu watakufa aisee,,na tutaandamana mbele watakuwepo kina hr666,,simu hizii ,
Simu yangu huniangukia usoni puu wakati nikichart nikiwa nimelala wala hata sichukii naichukua na kuendelea kuperuzi,,Leo itokee haipo mweee!!! Hatutakubali
Wapenda porn sasa hapa utawauaa aisee,,wapenda picha za ngono wqllah kuandamana lazima
Je we ikipotea smartphone utafanyaje utapungukiwa nin?
Alieleta smartphone abarikiwe maana imetufanya wengine tutulie majumbani,umbea tunaupiga huku tumekaa nyumbani,,,pia bila kusahau kusutana ni kwenye simu tu,kupata habari mbali mbali,,na mengine mengii
Simu kwangu ni kila kitu inanipa raha
Kuna watu humu watakufa aisee,,na tutaandamana mbele watakuwepo kina hr666,,simu hizii ,
Simu yangu huniangukia usoni puu wakati nikichart nikiwa nimelala wala hata sichukii naichukua na kuendelea kuperuzi,,Leo itokee haipo mweee!!! Hatutakubali
Wapenda porn sasa hapa utawauaa aisee,,wapenda picha za ngono wqllah kuandamana lazima
Je we ikipotea smartphone utafanyaje utapungukiwa nin?