Mara paap! Lulu kaachiwa huru!!!!

Na atoke tu siku hizi amejitambua jela sio sehemu nzuri uwe unakosa au umesingiziwa
 
Natamani sana Mheshimiwa amtoe,
huyu binti amebakwa tokea akiwa mtoto mdogo sana
hata akili zake zitakuwa zimedhurika pia;

Naamini atamtoa tu.
 
Tena kwa miaka 2 kangeweza hata kuongeza Cert au hata ka Diploma ya fani anayotaka, yeye tu, achukulie hili janga kama fundisho katika kupunguza kasi yake maishani..Jela sio mwisho wa maisha, hasa kama ni miaka 2 tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…