Mara Paap! Taifa Stars hii Hapa World Cup!! Itakuwaje?

South africa,Nigeria,Egypt hawana historia nzuri ya kufuzu kombe la dunia kwa umri wangu tangu mtoto mpaka leo hii nimewaona mara moja wakicheza world cup kule Russia...tukikutana nao tunaweza jitahidi,Mali pia tunawezajitahidi.
Egypt ndio kina Mo Salah
 
Egypt ndio kina Mo Salah
Hahahah Man u walikula 3.sisi kipindi beki Yondani na Nadir akatupiga mbili.sasa hivi beki ni Bakari na Kennedy sijui tutakula ngapi.
Hakuna kisichowezekana chini ya jua lakini hilo lije baada ya kuangalia uhalisia wa mambo kwanza.Turoge sana tunaweza kufuzu.
 
Huu uzi unatembea taratibu, nafikiri utaensa mpaka siku tunafika Nusu final World Cup,hahaha ila napenda watz hawaoni chance yoyote ya kufuzuu, yaani tunakataana wenyewe..hatari sana,

Majibu ni mengi.

Mara unaota ww amka kafanye kazi.
Sio poa
 
Tunatakiwa tutolewe mapema kuokoa rasilimali ya muda, fedha. Sioni cha maana kwa mpira wetu.

Na baadae kuepuka fedheha huko mbeleni.
 
Tunatakiwa tutolewe mapema kuokoa rasilimali ya muda, fedha. Sioni cha maana kwa mpira wetu.

Na baadae kuepuka fedheha huko mbeleni.
Kazi kweli kweli.
 
Huu uzi unatembea taratibu, nafikiri utaensa mpaka siku tunafika Nusu final World Cup,hahaha ila napenda watz hawaoni chance yoyote ya kufuzuu, yaani tunakataana wenyewe..hatari sana,

Majibu ni mengi.

Mara unaota ww amka kafanye kazi.
Sio poa
Nilikuwa Taifa nilichoshuhudia nimeshuhudia kwa kweli.
 
Uhalisia nimeushuhudia kwa macho yangu pale taifa.
Tumechezea kichapo cha kutosha.
 
Kwa mara nyingine tena, uzi uishie hapa uchomwe moto uteketee
Hahah🤸🤸🤸🤸
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…