Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Hawa wanamvua nguo Nchimbi aliyesema demokrasia yetu bado changa na hivyo OR TAMISEMI ilegeze kamba kidogo! Watu maefurahia zoezi yeye anataka waonekane wanoko!
====
Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa mkoani Mara wameeleza kuridhishwa na mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa wagombea na kuiomba mamlaka kuendelea kusimamia taratibu na sheria ili haki ipatikane kwa kila mgombea licha ya kuwepo changamoto ndongondogo.
Soma Pia:
Hawa wanamvua nguo Nchimbi aliyesema demokrasia yetu bado changa na hivyo OR TAMISEMI ilegeze kamba kidogo! Watu maefurahia zoezi yeye anataka waonekane wanoko!
====
Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa mkoani Mara wameeleza kuridhishwa na mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu kwa wagombea na kuiomba mamlaka kuendelea kusimamia taratibu na sheria ili haki ipatikane kwa kila mgombea licha ya kuwepo changamoto ndongondogo.
Soma Pia: