love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Huwa nayatafuta siyapati.Mbona matatizo yako wewe hiyataji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa nayatafuta siyapati.Mbona matatizo yako wewe hiyataji
Endelea kuyatafutaHuwa nayatafuta siyapati.
Sawa sawa!!!! Yatakishwa na huta ilaumu tena awamu ya tano.Endelea kuyatafuta
Rubbish,saizi nakula maisha na awamu ya 6..Sawa sawa!!!! Yatakishwa na huta ilaumu tena awamu ya tano.
Huo mda wa kula maisha unaupata wapi kucha kuimba mapambio,Rubbish,saizi nakula maisha na awamu ya 6..
Utaimba pambio kama una njaa na kama hunufaiki?Huo mda wa kula maisha unaupata wapi kucha kuimba mapambio,
Na kulaumu awamu ya tano?
Au jf ndio unakula maisha?
Huwezi Lumumba buku saba shaka anakusubiri.Utaimba pambio kama una njaa na kama hunufaiki?
RubbishHuwezi Lumumba buku saba shaka anakusubiri.
Mwambie shaka akupe likizo umefanya kazi kubwa.
Lumumba buk7.Rubbish
Lumumba buk7.
Hiyo ni wilaya ngumu sana kuiongoza kwa kweliAlly Hapi mkuu wa mkoa wa Mara anga'ka baada ya kupata taarifa ya ubadhirifu huo wa fedha za umma ametoa agizo kwa mkuu wa wilaya hiyo JOSHUA NASSARY kumoa taarifa za wote waliohusika ili apeleke majina hayo TAMISEMI wapangiwe majukumu mengine
Hata hivyo mkuu wa wilaya hiyo ameeleza kwamba wakuu wa idara wamekuwa wakinunua vifaa vya ujenzi na kuviacha kwenye maduka hayo kwa kisingizio kuwa hawana stoo ya kuweka vifaa hivyo.
Una uelewa mdogo sana kuhusu report ya CAG .CAG akitoa hoja ndo inatakiwa zijibiwa na idara husika haimaaanishi eti kuwa huo ni wizi na ndo maaana zinajibiwa na chachi ndo zinabaki huko mbeleBill of quantities ipo inaweza leta ulinganisho na hali halisi ya site ilivyo.
Nacho shukuru kwa sasa taarifa zinatoka tofauti na enzi za Giza.Ujue kuna watu wanaamini eti awamu ya 5 watu walikuwa hawajipimii [emoji1787][emoji1787].
Huwa Nawapa jibu rahisi tuu,wafuatilie taarifa yeyote ya CAG watapatamajibu.
Kawaambia wale ila wasivimbiwe. Hao hawajavimbiwa hawana kosa.Hii awamu mama na wasaidizi wake wawe makini,watu watapiga pesa sana.
Samia kawaruhusu kwanini washitakiwe? Wamekula kama rais alivyoagiza hakuna kosa hapo.Waibe then wapangiwe majukumu mengine badala ya kushtakiwa?
Na wapiga kura wanaongezewa tozo la miamala tujenge matumbo ya nchi.Awamu ya upigaji hii.
Ukipiga vi milioni stini kwenye halmashauri ndogo unahamishiwa kwenye jiji ambako milioni stini Ni Cha mtoto. Unapiga Tena kufuatana na urefu wa kamba yako (cheo chako) then unapewa ukurugenzi ili ukanunua magodoro ya GSM na vingine home shopping center.
Unaongezewa kamba unakula na wakubwa mijikontrakt mikubwa Kama SGR. Unanunua shamba Dumila kabla ya kuvimbiwa.
Cha msingi msiingiliane
CC RuhiOna mwenyewe mkuuView attachment 2091869
Nikiona hiyi picha mbavu sina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23]Milion 60 zatumika kujengea msingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]View attachment 2093170