Mara: Wilaya ya Bunda yatumia milioni 60 kujenga msingi wa jengo moja la kituo cha afya

Ni wazi kwamba Nassary ameonyesha uwezo mdogo wa kusimamia miradi
 
Hiyo ni wilaya ngumu sana kuiongoza kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uelewa mdogo sana kuhusu report ya CAG .CAG akitoa hoja ndo inatakiwa zijibiwa na idara husika haimaaanishi eti kuwa huo ni wizi na ndo maaana zinajibiwa na chachi ndo zinabaki huko mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wapiga kura wanaongezewa tozo la miamala tujenge matumbo ya nchi.
 
Hivi haya mambo bado yapo hadi kwenye utawala huu. Milion 60 zatumika kujengea msingi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…