HahahahaMilion 60 zatumika kujengea msingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116]View attachment 2093170
Kwa hapa kwenye wizi wamepitilizaMajizi Yapo Ccm Ni Mchwa Mkali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa jamaa wameifanya leo nionekane chizi aise nimecheka sanaaa sijui wana wazaga nn au sio binadamu kama ss nn?Hahahaha
Ova
Hahaha aise watanzania wana vituko sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawa jamaa wameifanya leo nionekane chizi aise nimecheka sanaaa
Suala Hapo Urefu Wa KambaWaendelee tu kwa urefu wa kamba zao, walishapewa go ahead.
Mbele Kwa MbeleCCM nambari one
Kwa hili [emoji42][emoji42][emoji42] [emoji12]CCM hoyee.
CCM wote ni mafisi/mafisadi.Waibe then wapangiwe majukumu mengine badala ya kushtakiwa?
Samia alisharuhusu. kama kuna mtu ameumia naye atafute eneo lake,wasiingiliane
Watakuwa wamejiongezea urefu wa kamba haoAlly Hapi mkuu wa mkoa wa Mara anga'ka baada ya kupata taarifa ya ubadhirifu huo wa fedha za umma ametoa agizo kwa mkuu wa wilaya hiyo JOSHUA NASSARY kumoa taarifa za wote waliohusika ili apeleke majina hayo TAMISEMI wapangiwe majukumu mengine
Hata hivyo mkuu wa wilaya hiyo ameeleza kwamba wakuu wa idara wamekuwa wakinunua vifaa vya ujenzi na kuviacha kwenye maduka hayo kwa kisingizio kuwa hawana stoo ya kuweka vifaa hivyo.