Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Na vipi, uliishia kuwa mpenzi wa kahawa au hukuipenda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nice 😍 👌Iced coffee
Sikupenda nilijilaumu mnooo
Pole, ulienda kuinywea wapi?Sikupenda nilijilaumu mnooo
Vikombe kumi ni hatari, too much caffeineKuna mwamba nikiwahi kumdanganya kwamba hii kitu inaongeza heshma, yaani shughuli yake sihaba..🤣
Mwanangu yule acha ajitwangie vikombe kama 10 hivi akijua anaenda kuikomoa....😝
Kesho yake anakuja kunimaind kwamba nimemuharibia shughuli...😜 eti alipitiwa na usingizi wa pono hadi panakucha na kitobo hakugusa...😂
Yaani kuanzia skuhiyo akanifuta kwenye watuwake wa kaeibu...😝
Nilikuwa kwenye group la Wana enzi hizo tukasema tukanywe aaaah nilijilaumu kinoma na sijataka kuinywa tenaaaPole, ulienda kuinywea wapi?
Mimi siyo lishangazi ni mshangaziNapenda ile ya LISHANGAZI
View attachment 3242971

Hivi huwa inaunguza meno?Wanywa kahawa wengi wameungulia meno[emoji3061]
Nadhani ndo Yale mambo...Hivi huwa inaunguza meno?
Sijui kuhusu kuungulia meno, ila kahawa inaacha stains.Wanywa kahawa wengi wameungulia meno🥴
Okay, nimekuelewa momSijui kuhusu kuungulia meno, ila kahawa inaacha stains.
Kama unakunywa black coffee unashauriwa kusukutua na maji baada ya kunywa.
Uko sahihi, ukinywa too much bila kuzingatia usafi wa kinywa, unaishia hiviNadhani ndo Yale mambo...
Anything too much is harmful
Wanakuwa na meno ya chuga🤭