Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
- #41
Nani huyo???MBona kama mdomo wa yule bingwa wa kuwowa huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani huyo???MBona kama mdomo wa yule bingwa wa kuwowa huu
Weeee yumo humu unataka anililie🤣Nani huyo???
Mi kahawa ninayojua kupika inawekewa viungo na sukari,, maziwa pia ila inategemea unataka kahawa gani!! hapo utundu unacheza na kahawa unataka iweje!!! Kuna kahawa ya kumtega bwana,, kahawa kunywa usirudi,, kahawa nakupenda Tena na tena,, kahawa tupendane ,, kahawa tunywe wote , kahawa staki mazoea hizo zote ni kwa mujibu wa Bibi yangu..Inapikwaje kahawa tunaomba darsa japo kwa ufupi
Koooh!!!!kooooooh!!!! Nasubiria hilo darsa kwa hamu kama hiyo kahawa ya nakupenda tena na tena 😆😆Mi kahawa ninayojua kupika inawekewa viungo na sukari,, maziwa pia ila inategemea unataka kahawa gani!! hapo utundu unacheza na kahawa unataka iweje!!! Kuna kahawa ya kumtega bwana,, kahawa kunywa usirudi,, kahawa nakupenda Tena na tena,, kahawa tupendane ,, kahawa tunywe wote , kahawa staki mazoea hizo zote ni kwa mujibu wa Bibi yangu..
Ntaleta thread yake na nitakutag
Usinisahau Je umeolewa?Mi kahawa ninayojua kupika inawekewa viungo na sukari,, maziwa pia ila inategemea unataka kahawa gani!! hapo utundu unacheza na kahawa unataka iweje!!! Kuna kahawa ya kumtega bwana,, kahawa kunywa usirudi,, kahawa nakupenda Tena na tena,, kahawa tupendane ,, kahawa tunywe wote , kahawa staki mazoea hizo zote ni kwa mujibu wa Bibi yangu..
Ntaleta thread yake na nitakutag
Nimeolewa mama wa watoto watano.Usinisahau Je umeolewa?
MashaAllahNimeolewa mama wa watoto watano.
Daaah shangazi mbona kama unataka kunigombanisha na bebe wangu