Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
-
- #21
Safi sana 👌 napenda coffee pia ila nimejifunza kutengeneza ukubwani ☺️Umenikumbusha nilijua kupika kahawa nikiwa mdogo sana,,, Bibi yangu alinifundisha kupika kahawa na chupa yake kahawa ilikuwa haiishi.
Mi nakunywa moja ya kinywaji changu pendwa.
Jaribu cappuccino na latte, hizo zinakua na maziwa na siyo chungu.Nilijaribu za vijiweni, picha linaanza nyeusi kama imetiwa oil, kuionja inachoma afu chungu kama mwarobaini sirudii.
Labda nijaribu za kishua Latte cappuccino...
Ushapata kazi amaIced coffee
Duuuh tena [emoji23] nikijaribu next time naweka hata kijiko kimoja, sio kwa ladha ile.Jaribu cappuccino na latte, hizo zinakua na maziwa na siyo chungu.
Ila sharti kuu la kahawa ni haiwekewi sukari.
Nshapeleka CVUshapata kazi ama
May God bless you!!!Nshapeleka CV
MBona kama mdomo wa yule bingwa wa kuwowa huu
Inapikwaje kahawa tunaomba darsa japo kwa ufupiUmenikumbusha nilijua kupika kahawa nikiwa mdogo sana,,, Bibi yangu alinifundisha kupika kahawa na chupa yake kahawa ilikuwa haiishi.
Mi nakunywa moja ya kinywaji changu pendwa.
Thank you very muchMay God bless you!!!
OkThank you very much
Ntakupa mrejesho
NeScafeNetsCafe.
OkNtakupa mrejesho
🤣🤣🤣🤭🥴