GLOBAL CITIZEN
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 767
- 1,657
Blessed Saturday everybody!
Leo kama kawaida nipo hapa kukupatia darasa litakalokusaidia kuongeza maarifa ili upate pesa ukifanya kazi kama Online freelancer.
Hapo nimetumia neno maarifa kwasababu bila kufanya haya mambo kama professional itakuwa ngumu sana kupata hizi kazi. Binafsi nafanya kazi nyingi kama Online Freelancer toka mwaka 2016.
Kwa wanaofuatilia makala nazoandika hapa JF wanafahamu nilimeanidika sana kuhusu freelancing site ya UpWork. Nimeonyesha kazi ninazofanya (recently I’m working on $1,000 gig) lakini pia ninasaidia yeyote yule anayetaka kuanza vizuri carrier yako mpya kama Online freelancer.
Jana my brother kutoka hapa JF nilimsaidia kwa mara ya kwanza kufungua Account itakayokuwa approved UpWork baada ya yeye kusumbuka kwa muda mrefu akituma maombi na kukataliwa.
Unajua ukifanya kitu chochote kile inabidi ufanye kwa ukamilifu wake. Ni nadra sana UpWork wakiona profile yako imeandaliwa vizuri watakataa application yako. Mimi nimeona profile za watu. Wengi wao hawajui hata wanaenda kufanya nini wanapojisajili kwenye. It is crazy.
Ok. Si lengo langu kuongelea UpWork.
Leo nipo hapa nataka nikonyeshe jinsi unavyoweza kupata kazi katika site ya freelancer..com
Kwa kuanza niweke message niliyopokea tar 13 novermber 2019 toka kwa client akitaka Nipigie kazi ya Kiswahili. Hii kazi ni $410.
Ok.
Jana nikapewa maelezo ya mwisho.
Hii ni mara yangu ya kwanza kupata gig inayozidi $200 freelancer.com
Kwahiyo Hii maana yake freelancer.com nao wapo vuzuri na inawezekana kutengeneza pesa kutumia hili jukwaa ukiwa unafahamu nini unafanya.
Iwapo bado huelewi sana na haufahamu utaweza vipi kuwa freelancer usisite kuniandikia kwenye Email yangu ya kazi makingmoneyonlinetz@gmail.com nitakupatia Course + mentorship.
Na niseme tu sasa hivi ninaendelea kufundisha baadhi ya watu walio committed na kila kitu kinaenda vizuri.
Lengo langu ni kuunda network na vijana wengine hapa TZ na kwakufanya hivi tunaweza kutasaidiana sana iwe kwa kupeana opportunity au kufundishana Skills mpya zitazasaidia watu kupata pesa.
Trust me unavyosaidia watu wengi zaidi ndivyo pesa inavyokuja. Na jambo zuri ni kwamba kila mmoja anaweza kumsaidia mwingine. Iwe wewe ni mjuzi sana au ndiyo unaanza. Kuna kitu ninachoweza kujifunza kwako hata kama unadhani hakuna. Ndiyo ipo hivi.
Kwa kizungu tunasema Each one teach One.
Ok sasa tuangalie Mambo matatu unavyoweza kufanya ili upate kazi yako ya kwanza katika site ya freelancer
1 • Jifunze kuwa authentic/original unapo andika cover later wakati unaapply hizi kazi.
Unajua nini.
Watu wengi hawajui kuandika.
Client akisoma tu cover later anajua huyu hajielewi.
Kama nilivyosema mara nyingi hapa. You don’t need to tell client about your university degree. No one cares about that.
Kwanza kuwa na university degree si skill.
Skill ni uwezo wakupiga kazi iwe uliishia lasaba B Arumeru Primary School au Stanford University USA [emoji631]
It doesn’t matter.
Sasa hapa ili kufahamu candidate gani anaweza kupiga kazi mara nyingi client anaangalia jinsi ulivyo original katika maandishi yako.
Watu wengi wanaokurupuka ukisoma wanachoandika mara nyingi utagundua tu hawana uwezo na wanachokisema. Kwasababu hawaandiki kama experienced.
Maneno wanayoandika hayana uzito. Hayana uhalisia.
Na hii ndiyo sababu hujibiwi na hupati kazi.
2 • Apply kazi zile tu unazoona upo na nafasi kubwa kupata.
Yes man.
Usiwe na pupa.
Good things come to those who wait.
Yani kama simba vile. Unatakiwa uwinde windo unalodhani ni rahisi kukamata.
Nafahamu baadhi ya freelancers wakishajisajili wanakimbilia ku-apply kazi yoyote iliyo mbele yao wakidhani Ndiyo kupiga kazi kwenye huko.
Nop. That is wrong.
Lazima uwe Strategic. Apply kazi zile tu unazoweza kuzifanya kwasababu kitu unachoweza kweli kukifanya hata katika maneno yako utatambulika tu.
Kama huna skill yoyote nakushauri Jifunze skill mpya. Na hapa niseme tu unaweza kujifunza skill mpya kwa muda mfupi tu kwasababu kazi zinazopatikana katika haya majukwaa ya Online freelancing hayahitaji uende chuo ukajifunze. Ni wewe tu na ujanja wako. Niandikie email ninaweza kupendekeza ni nini hasa unaweza kujifunza kwa muda mfupi.
3 • Kuwa Mvumilivu na usikate tamaa.
Wakati nilipoweka uzi wangu hapa kuhusu kazi nazoendelea kuzifanya UpWork baadhi ya watu waliuliza kuhusu site ya freelancer..com Nikasema ni kiasi cha muda tu. Nitapata kazi freelancer..com na nitakuja hapa kuweka ushahidi.
Unajua nini mtu wangu?
Inabidi uwe mvumilivu kwenye kila jambo unalofanya kwasababu ni mara chache mambo yataenda kama unavyotaka. Sasa hapa usipokuwa mvumilivu mambo mengi yatakuwa yanakupita kwasababu wewe ni kigeugeu.
Inabidi kila jambo unalofanya ulipe muda.
Ndiyo ipo hivyo. Huwezi kubadilisha hili.
Never give up.
Hii ni siri watu wengi wanapuuza kwasababu hawaelewi.
Sasa hivi umeshafahamu. Usikubali kukata tamaa na kuanza kulalamika ukilaumu.
Alright. Kwa leo namba niishie hapa. Hopefully umenufaika na uzi huu.
Tukutane tena siku nyingine katika darasa lingine amazing kama hili. Pia iwapo unataka niandike kuhusu njia fulani yakutengeneza pesa Online niajulishe kwenye comment.
Cheers 🥂
Leo kama kawaida nipo hapa kukupatia darasa litakalokusaidia kuongeza maarifa ili upate pesa ukifanya kazi kama Online freelancer.
Hapo nimetumia neno maarifa kwasababu bila kufanya haya mambo kama professional itakuwa ngumu sana kupata hizi kazi. Binafsi nafanya kazi nyingi kama Online Freelancer toka mwaka 2016.
Kwa wanaofuatilia makala nazoandika hapa JF wanafahamu nilimeanidika sana kuhusu freelancing site ya UpWork. Nimeonyesha kazi ninazofanya (recently I’m working on $1,000 gig) lakini pia ninasaidia yeyote yule anayetaka kuanza vizuri carrier yako mpya kama Online freelancer.
Jana my brother kutoka hapa JF nilimsaidia kwa mara ya kwanza kufungua Account itakayokuwa approved UpWork baada ya yeye kusumbuka kwa muda mrefu akituma maombi na kukataliwa.
Unajua ukifanya kitu chochote kile inabidi ufanye kwa ukamilifu wake. Ni nadra sana UpWork wakiona profile yako imeandaliwa vizuri watakataa application yako. Mimi nimeona profile za watu. Wengi wao hawajui hata wanaenda kufanya nini wanapojisajili kwenye. It is crazy.
Ok. Si lengo langu kuongelea UpWork.
Leo nipo hapa nataka nikonyeshe jinsi unavyoweza kupata kazi katika site ya freelancer..com
Kwa kuanza niweke message niliyopokea tar 13 novermber 2019 toka kwa client akitaka Nipigie kazi ya Kiswahili. Hii kazi ni $410.
Ok.
Jana nikapewa maelezo ya mwisho.
Hii ni mara yangu ya kwanza kupata gig inayozidi $200 freelancer.com
Kwahiyo Hii maana yake freelancer.com nao wapo vuzuri na inawezekana kutengeneza pesa kutumia hili jukwaa ukiwa unafahamu nini unafanya.
Iwapo bado huelewi sana na haufahamu utaweza vipi kuwa freelancer usisite kuniandikia kwenye Email yangu ya kazi makingmoneyonlinetz@gmail.com nitakupatia Course + mentorship.
Na niseme tu sasa hivi ninaendelea kufundisha baadhi ya watu walio committed na kila kitu kinaenda vizuri.
Lengo langu ni kuunda network na vijana wengine hapa TZ na kwakufanya hivi tunaweza kutasaidiana sana iwe kwa kupeana opportunity au kufundishana Skills mpya zitazasaidia watu kupata pesa.
Trust me unavyosaidia watu wengi zaidi ndivyo pesa inavyokuja. Na jambo zuri ni kwamba kila mmoja anaweza kumsaidia mwingine. Iwe wewe ni mjuzi sana au ndiyo unaanza. Kuna kitu ninachoweza kujifunza kwako hata kama unadhani hakuna. Ndiyo ipo hivi.
Kwa kizungu tunasema Each one teach One.
Ok sasa tuangalie Mambo matatu unavyoweza kufanya ili upate kazi yako ya kwanza katika site ya freelancer
1 • Jifunze kuwa authentic/original unapo andika cover later wakati unaapply hizi kazi.
Unajua nini.
Watu wengi hawajui kuandika.
Client akisoma tu cover later anajua huyu hajielewi.
Kama nilivyosema mara nyingi hapa. You don’t need to tell client about your university degree. No one cares about that.
Kwanza kuwa na university degree si skill.
Skill ni uwezo wakupiga kazi iwe uliishia lasaba B Arumeru Primary School au Stanford University USA [emoji631]
It doesn’t matter.
Sasa hapa ili kufahamu candidate gani anaweza kupiga kazi mara nyingi client anaangalia jinsi ulivyo original katika maandishi yako.
Watu wengi wanaokurupuka ukisoma wanachoandika mara nyingi utagundua tu hawana uwezo na wanachokisema. Kwasababu hawaandiki kama experienced.
Maneno wanayoandika hayana uzito. Hayana uhalisia.
Na hii ndiyo sababu hujibiwi na hupati kazi.
2 • Apply kazi zile tu unazoona upo na nafasi kubwa kupata.
Yes man.
Usiwe na pupa.
Good things come to those who wait.
Yani kama simba vile. Unatakiwa uwinde windo unalodhani ni rahisi kukamata.
Nafahamu baadhi ya freelancers wakishajisajili wanakimbilia ku-apply kazi yoyote iliyo mbele yao wakidhani Ndiyo kupiga kazi kwenye huko.
Nop. That is wrong.
Lazima uwe Strategic. Apply kazi zile tu unazoweza kuzifanya kwasababu kitu unachoweza kweli kukifanya hata katika maneno yako utatambulika tu.
Kama huna skill yoyote nakushauri Jifunze skill mpya. Na hapa niseme tu unaweza kujifunza skill mpya kwa muda mfupi tu kwasababu kazi zinazopatikana katika haya majukwaa ya Online freelancing hayahitaji uende chuo ukajifunze. Ni wewe tu na ujanja wako. Niandikie email ninaweza kupendekeza ni nini hasa unaweza kujifunza kwa muda mfupi.
3 • Kuwa Mvumilivu na usikate tamaa.
Wakati nilipoweka uzi wangu hapa kuhusu kazi nazoendelea kuzifanya UpWork baadhi ya watu waliuliza kuhusu site ya freelancer..com Nikasema ni kiasi cha muda tu. Nitapata kazi freelancer..com na nitakuja hapa kuweka ushahidi.
Unajua nini mtu wangu?
Inabidi uwe mvumilivu kwenye kila jambo unalofanya kwasababu ni mara chache mambo yataenda kama unavyotaka. Sasa hapa usipokuwa mvumilivu mambo mengi yatakuwa yanakupita kwasababu wewe ni kigeugeu.
Inabidi kila jambo unalofanya ulipe muda.
Ndiyo ipo hivyo. Huwezi kubadilisha hili.
Never give up.
Hii ni siri watu wengi wanapuuza kwasababu hawaelewi.
Sasa hivi umeshafahamu. Usikubali kukata tamaa na kuanza kulalamika ukilaumu.
Alright. Kwa leo namba niishie hapa. Hopefully umenufaika na uzi huu.
Tukutane tena siku nyingine katika darasa lingine amazing kama hili. Pia iwapo unataka niandike kuhusu njia fulani yakutengeneza pesa Online niajulishe kwenye comment.
Cheers 🥂