Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Nakuunga mkono mkuu. Huyu jamaa namfahamu kitambo. Ki ukweli hana lengo zuri la kusaidiana vijana. Lengo lake ni kuwaliza, haweki mambo bayana. Konakona ni nyingiSWADAKTA, awe muwazi kama wengine wanaosaka pesa kwa njia mbali mbali. Tatizo anazunguka mno, anatumia kona ya meli kufikia lengo lake.
Nakuunga mkono mkuu. Huyu jamaa namfahamu kitambo. Ki ukweli hana lengo zuri la kusaidiana vijana. Lengo lake ni kuwaliza, haweki mambo bayana. Konakona ni nyingi
GLOBAL CITIZEN,
Wewe unataka kula hela za hawa vijana masikini bure bure tu? Uwe na huruma aisee, wapatie hayo maarifa hapa hapa kama kweli una nia njema. Waonee huruma wenzio, tayari CCM imeshawachapa viboko vya kutosha, na wewe tena?