Mara ya Kwanza

Mara ya Kwanza

mnachekacheka mara tuuuuuuuuuuuuu imenatana........siku ya kwanza.........siku yapili anaileta mwenyewe............ukienda kuchukuwa maziwa yeye yupo nyuma...........mnaingia kwenye vichaka........hata miba hamsikii........ukirudi unaulizwa mbona umechelewa na una majani kichwani kulikoni?
 
mnachekacheka mara tuuuuuuuuuuuuu imenatana........siku ya kwanza.........siku yapili anaileta mwenyewe............ukienda kuchukuwa maziwa yeye yupo nyuma...........mnaingia kwenye vichaka........hata miba hamsikii........ukirudi unaulizwa mbona umechelewa na una majani kichwani kulikoni?
dah unanikumbusha mbali mambo ya vichakani nakumbuka siku nilichomwa na mwiba kwenye goti nilikuwa nachinja kobe (na-do) na demu mmoja hivi wala sikusikia maumivu wakati na-do ila baada ya kumaliza nilisikia maumivu mpk kutembea ilikuwa shida
 
Jamani naomba msaada japo ni tofauti na topic hii, eti kama nkitaka kutuma msg kama hivi nafanyaje? mgeni kdg humu.

Mwanzo hapo juu kabla haujafungua thread, kuna sehemu imeandikwa 'post new topic'. click hapo haapooooo...
 
We unataka kujua mara ya kwanza ikuwaje iliiweje? Vingine havisimuliki humu kwani ni vya kuchekesha sana. Wengine tulikutana wote wawili tukiwa hatujui kitu. Piga picha hiyo upate jibu.

...Kuna mtu ameishamaliza kila kitu hapo juu..... SI JASHO HILO !!!:A S wink::rofl::rofl:

 
Mimi nililia kwa maumivu makali, after all nilikua na 27years
 
Mi nilichomwa na kijiti maeneo yalee walati huo gesti zetu zilikuwa migombani.! looh umenikumbusha mbali sana...
 
vp kuhusu maisha bora kwa kila mtanzania......mambo saaizi shwari TUJADILI HAYA...mengine ni upuuzi tu ambao ungeweza kujadili na mwenza wako kwenye hako kachumba kako.........lete zile stori za kuwasaidia hata hao watoto uliopata baada ya huo uzoefu wako
SAMAHANI KWA KUINGILIA UHURU WAKO MWANDISHI WA KUJIEXPRESS LAKINI KUNA WATU FULANI AKIWEMO MIMI SIUNGI SANA MKONO KUJADILI MAMBO YASIYOKUWA NA MBELE WALA NINI........anyway, ukijua ;bubu atakakusema'' alivyo na anavyomjingijingi demu wake itakusaidia nini ................NI HAYO TU MJOMBA NIKIPATA NAULI........-
Jamani najua kila mtu hapa ana uhusiano na mwenza wake na wengine ndoa kabisa. Hebu tukumbushane siku ya kwanza kabisa unafanya ngono na mwenza wako wa kwanza kabisa hali ilikuwaje kuhusu wasiwasi/ uoga/ presha na mangineyo yalikuwaje?

mimi nakumbuka siku ya kwanza baada ya kuwa mtu kamili (achilia mbali za kinguo nguo) nilitokwa na jasho mpk demu akaniuliza una tatizo gani, ikabidi nimwambie ukweli kuwa sijawahi so baada ya hapo alinipa somo la kutosha halafu akawa ananitafuta mara kwa mara kunipa raha mpk nilipopata utaalamu ambao umenifanya nimekuwa mkongwe mpk leo
 
Mhnnnnnn! it was nice nikikumbuka!!unajilipua hata goal nne!!noma!Ukiingia kulala unakamia lazima.....umalizane nakitanda!!!But naomba niulize je Wanawake inakuwaje for the frist time??
 
He!!!!!! hii sasa kali.

Duh mnanikumbusha stori moja kuna binti wa bara alikuwa anaolewa na jamaa la pwani, mama mzazi akampa darasa kuwa awe makini kwa kuhakikisha kuwa tendo la ndoa halifanywi sehemu nyingine zaidi ya ile ambayo jamaa ataanza nayo. Bahati mbaya sana jamaa alikuwa amekubuhu kwenye mambo ya mombasa akaanzia ambako siko kwa kawaida ikabidi binti awe mkali sana kuzuia asiguswe kule kwa kawaida. Baada ya mwezi mama anauliza maendeleo akapewa stori, karibu azimie.
 
vp kuhusu maisha bora kwa kila mtanzania......mambo saaizi shwari TUJADILI HAYA...mengine ni upuuzi tu ambao ungeweza kujadili na mwenza wako kwenye hako kachumba kako.........lete zile stori za kuwasaidia hata hao watoto uliopata baada ya huo uzoefu wako
SAMAHANI KWA KUINGILIA UHURU WAKO MWANDISHI WA KUJIEXPRESS LAKINI KUNA WATU FULANI AKIWEMO MIMI SIUNGI SANA MKONO KUJADILI MAMBO YASIYOKUWA NA MBELE WALA NINI........anyway, ukijua ;bubu atakakusema'' alivyo na anavyomjingijingi demu wake itakusaidia nini ................NI HAYO TU MJOMBA NIKIPATA NAULI........-
hii ni sehemu ya mahusiano na mapenzi sasa unataka tujadili maisha bora kwa watz wakati kuna sehemu za kujadili siasa hujaziona? halafu unasema mambo haya hayana mbele wala nyuma wakati ndio yanapendwa kuliko hizo siasa zako za vijiweni
 
Back
Top Bottom