Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo anataka umfundishe ku-PM kwanza au hujamuelewa.ni-PM nitakufundisha tena na kukuandikia na notisi kabisa halafu daftari la notisi nakupa lote lote
dah unanikumbusha mbali mambo ya vichakani nakumbuka siku nilichomwa na mwiba kwenye goti nilikuwa nachinja kobe (na-do) na demu mmoja hivi wala sikusikia maumivu wakati na-do ila baada ya kumaliza nilisikia maumivu mpk kutembea ilikuwa shidamnachekacheka mara tuuuuuuuuuuuuu imenatana........siku ya kwanza.........siku yapili anaileta mwenyewe............ukienda kuchukuwa maziwa yeye yupo nyuma...........mnaingia kwenye vichaka........hata miba hamsikii........ukirudi unaulizwa mbona umechelewa na una majani kichwani kulikoni?
Jamani naomba msaada japo ni tofauti na topic hii, eti kama nkitaka kutuma msg kama hivi nafanyaje? mgeni kdg humu.
We unataka kujua mara ya kwanza ikuwaje iliiweje? Vingine havisimuliki humu kwani ni vya kuchekesha sana. Wengine tulikutana wote wawili tukiwa hatujui kitu. Piga picha hiyo upate jibu.
:confused2:... sie wengine bado... :lock1:
Danganya toto hiyo. Hata ndoto hujaota? Kama ndivyo, basi nakushauri umuone dactari...!
Mwe jamani sredi nyingine..
mfundishe na ku-PM ili niwasiliane nae
Jamani najua kila mtu hapa ana uhusiano na mwenza wake na wengine ndoa kabisa. Hebu tukumbushane siku ya kwanza kabisa unafanya ngono na mwenza wako wa kwanza kabisa hali ilikuwaje kuhusu wasiwasi/ uoga/ presha na mangineyo yalikuwaje?
mimi nakumbuka siku ya kwanza baada ya kuwa mtu kamili (achilia mbali za kinguo nguo) nilitokwa na jasho mpk demu akaniuliza una tatizo gani, ikabidi nimwambie ukweli kuwa sijawahi so baada ya hapo alinipa somo la kutosha halafu akawa ananitafuta mara kwa mara kunipa raha mpk nilipopata utaalamu ambao umenifanya nimekuwa mkongwe mpk leo
He!!!!!! hii sasa kali.
hii ni sehemu ya mahusiano na mapenzi sasa unataka tujadili maisha bora kwa watz wakati kuna sehemu za kujadili siasa hujaziona? halafu unasema mambo haya hayana mbele wala nyuma wakati ndio yanapendwa kuliko hizo siasa zako za vijiwenivp kuhusu maisha bora kwa kila mtanzania......mambo saaizi shwari TUJADILI HAYA...mengine ni upuuzi tu ambao ungeweza kujadili na mwenza wako kwenye hako kachumba kako.........lete zile stori za kuwasaidia hata hao watoto uliopata baada ya huo uzoefu wako
SAMAHANI KWA KUINGILIA UHURU WAKO MWANDISHI WA KUJIEXPRESS LAKINI KUNA WATU FULANI AKIWEMO MIMI SIUNGI SANA MKONO KUJADILI MAMBO YASIYOKUWA NA MBELE WALA NINI........anyway, ukijua ;bubu atakakusema'' alivyo na anavyomjingijingi demu wake itakusaidia nini ................NI HAYO TU MJOMBA NIKIPATA NAULI........-