Mi nakumbuka ilikua mwaka 2000 niko form four tulikua sekondari ila tumepanga mtaani geto sasa kuna jamaa flani alikua anasoma veta tulipanga nae mtaani hapo sasa mi nilikua wakishua jamaa mtoto wa mbwa nazani akawa na wivu sasa kesho yake alikua anasafiri kuludi kwao alikua amefunga chuo sasa usiku nimekaa nakuta jamaa kaja kukojoa mlangoni kwangu mkojo wote ukaingia ndani aisee nilipata hasira jamaa alikua ananichukulia poa ile kutoka sikumuuliza nilimpa ngumu kama tatu za uso zile kali sana nikapiga kama ngumi nne za mbavu nikapiga mbili za tumbo jamaa aka fleti chini katepeta hakuamini washkaji walikua nje walishangilia hatari miluzi sana alafu jamaa lilikua kubwaa nikalikalisha ila kusema ukweli nili mbahatisha tu jamaa kwa uoga nasikia aliamka saa kumi usiku akawai stendi aliogopa labda kesho ntamuendelezea. sikuwai kumuona tena yule jamaa da ningemuua siku ile alafu kilichonipa courage ni ngumi za tyson nikasema ngoja ni test kwa huyu