Mara ya mwisho kupigwa, kupigana au kupiga mtu ilikuwa lini na kwanini?

Mara ya mwisho kupigwa, kupigana au kupiga mtu ilikuwa lini na kwanini?

ha ha ha ha ha tushazeeka siku hizi mkuu mambo haya tunawaachia vijana saizi mtu akizingua unanyanya simu tu defender linamtafuta akikaa wiki kule mnaheshimiana
Mkuu vile vitasa hatari ulisababisha nihame mkoa
 
Ha ha ha ha mkuu ili utuonee ehh kwakweli kipigo ni ticket yangu,mwanaume wa kupiga hapana aisee simuwezi
Mi ndio napenda maana kuvumilia ushenzi kwa kivuli cha jentromeni siwezagi. Ukileta upumbavu unakula makonzi tu na uzuri sipigagi mtu kwa kosa la kwanza.
 
ha ha ha ha ha tushazeeka siku hizi mkuu mambo haya tunawaachia vijana saizi mtu akizingua unanyanya simu tu defender linamtafuta akikaa wiki kule mnaheshimiana
Halaf nyie wa hivi ndio mabingwa wa pelepeche mingi, running your mouth like chirpbirds.
 
Kaka mkubwa alilamba mchanga, nina hasira zaidi ya mbogo ndio maana sipendagi magomvi. Siku nikisema nakushushia ujue sikuangalii usoni ni ali mfuweni tu.

Sema ukweli wako kwamba ulipigwa.
 
Nilikua na mwanamke mgomvi sana. weakness yako ni hio tu anapenda ubabe.Yaani kila kitu fresh ila ukipishana nae kauli tu ngumi mkononi.Ameshanikwida mara kibao,Ameshawai nirushia stuli ya kioo nikakwepa nikala kona.Mwanamke ni jemedari.Tukiwa poa hua ananipa stori za bwanake wa mwisho (muuza madini)Walikua wanadundana mpaka wanang'atana.Wao ni vita kila siku wanadundana mpaka wanachaniana nguo.Nikamwambia mama vurugu sijazoea nitakukimbia.Mwisho wa siku alipishana kauli na konda wa basi la mkoa.Konda ana matusi laana.Mwanamke alivua skuna alimpiga konda za kichwa kama nne mfululizo.Konda damu tupu.Nashuhudia kwa macho yangu.Ugomvi uliamuliwa na polisi wa stendi na aliwekwa ndani.Alipotoka tu Kuanzia siku hio ndio ilikua mwisho wetu..

Zaidi ya hapo kupigana kabisakabisa ilikua darasa la pili.na nilipigwa sana.Nilichakazwa
 
Mi ndio napenda maana kuvumilia ushenzi kwa kivuli cha jentromeni siwezagi. Ukileta upumbavu unakula makonzi tu na uzuri sipigagi mtu kwa kosa la kwanza.

Raha yako upate jeuri mwenzio mtwangane mpaka mwisho wa hisia zenu
 
Hapo sawa ila ukiwa na mkono mwepesi unaweza mpiga hata bila sababu
Hata sina mkono mwepesi, ila sipendagi tabia ya mtu kujifanya much knows na uropokaji...Tumia kauli za kistaarabu tuelewane ila ukiwa mtu wa zile za kwahio!?....utajiju!...inshort lugha za mipasho
 
Hata sina mkono mwepesi, ila sipendagi tabia ya mtu kujifanya much knows na uropokaji...Tumia kauli za kistaarabu tuelewane ila ukiwa mtu wa zile za kwahio!?....utajiju!...inshort lugha za mipasho

Ohh kumbe hizo ndozinakushinda vumilia!!angalia lkn usije ishia kuua maana sikuizi kila mtu anatembea na roho mkononi
 
Ohh kumbe hizo ndozinakushinda vumilia!!angalia lkn usije ishia kuua maana sikuizi kila mtu anatembea na roho mkononi
Ukishindwa kutumia mdomo wako vyema ntakufundisha. Wanawake wengine wana maudhi sana.

Juzi kuna mwenzio nimemsalimia, akauchuna...nikarudia kusalimia jibu alilotoa kuwa eeh kwani ni lazima kuitikia au?...kwa saut ya dharau 🤣🤣🤣!!! Nakumbuka nililala nikastuka asubuhi bila kumsemesha kitu.
 
Ukishindwa kutumia mdomo wako vyema ntakufundisha. Wanawake wengine wana maudhi sana.

Juzi kuna mwenzio nimemsalimia, akauchuna...nikarudia kusalimia jibu alilotoa kuwa eeh kwani ni lazima kuitikia au?...kwa saut ya dharau 🤣🤣🤣!!! Nakumbuka nililala nikastuka asubuhi bila kumsemesha kitu.

Weee nawe unapenda mashindano sasa asipokujibu si unambembeleza kujua nini shida instead ukachuna na wewe[emoji23][emoji23]wenzio tunakuwaga na moodswing
 
Weee nawe unapenda mashindano sasa asipokujibu si unambembeleza kujua nini shida instead ukachuna na wewe[emoji23][emoji23]wenzio tunakuwaga na moodswing
Mambo ya kishetani hayo...Moodswing kila mtu anazo ila mbona si hatunaga hivyo vituko vyenu.
 
Halaf nyie wa hivi ndio mabingwa wa pelepeche mingi, running your mouth like chirpbirds.
ha ha ah ha ha ha katika maisha yangu nimepigana mara mbili tu na mechi zote nilishinda nyingine ilikua primary school miaka ya tisini huko mambo ya bullying kuna jamaa alikua anajifanya mbabe nae nilimkalisha alijifanya kulusha teke kama van dame nikalidata nikambutua bonge la mtama nikasindikiza na ngumi ya tumbo alilia jamaa yule nikajua nimeua ila nilikua na hasira siku iyo jamaa alikua ananionea sana
 
Mambo ya kishetani hayo...Moodswing kila mtu anazo ila mbona si hatunaga hivyo vituko vyenu.

Tunatofautiana mkuu ila zetu zimezidi hivyo tuelewe tu pia vituko ndochachu ya kuchachua penzi sasa akisusa na wewe ukasusa itakuwaje
 
Nmetok zangu kazin usiku saa8
Nafika karibu na home kuna vijana wawili wakanivamia...wamelewa chakaliii
Wakanamby nisimame nisisogee hata hatua
Wakanisogelea wakaniambia kaaaa chiniii!!!!!
(Hapo sijajibu kituu)
Nkaona kama wanatak kunpanda kichwanii
Nlimzabua buti moja la tumbo mmjo wao aliekua amekaa angle nzuriii
Jamaaa akadindoka chin
Yule mwingine alikimbiiiiaaaaaa[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom