Sema ukweli wako kwamba ulipigwa.Mambo ya nakoz konz, aisee mara ya mwisho nilimchapa nakoz bro wangu baada ya yeye kulewa na kuanza kujimwambafy mbele ya baharia.π€£π€£π€£
NB: Mimi si mkorofi ila, ukinichokoza ntakupatia unachokitafuta kwangu.
Hahahaha kwa hiyo ngumi nehiiiiii. Hahahahaha
dah nimewah kupigwa na jamaa. mi napenda saana mpira afu ni mshabiki wa man u.siku moja tulikua tunacheza man u na chelsea.hii mechi kawaida huwa inakelele saana na mimi ndo nilikua na kelele mle ndani na nakumbuka man u tulishindaga 2-1 goli la pili alifunga lingard kutokea sub.mimi nilikaa mbele ya jamaa wa chelsea baada ya kuwafunga nikawa na kelele saana.jamaa akanambia namtinga mbele haoni. nikamwambia weee mpumbavu utanambia nini wewe kwa dharau. daah kumbe jamaa kachukia. alinisogelea nikashtukia kanipiga kichwa kimoja matata saana nikaona maluelue mpaka kudondokea ving'amuzi.ile nainuka nakutana na ngumi ya uso nikadondoka chini tena na ilikua karibu na mlango.nilivyo inuka niliangalia mlango nikatoka nduuki break maskan na kelele zoote ziliisha.asubuh niliamka nimevimba uso nilikua kituko mtaani.
Mi huwa napenda watu kama wewe, kilomolomo kingi nguvu kisoda π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wengine uchokozi tunauweza ila mchezo wa ngumi...nehii aisee
ahahaha tunakelele balaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sema mashabiki wa nyumbu mnaboa
ahahahahahah tupo wengi saana mi niliwahi kwenda kujifunza karate.siku ya kwanza tu wananipa mti nipigage mpaka ukauke ile sehemu na mazoezi ya kukomoana yaani siku iliyofwata niliumwa wiki nzima na sikukanyaga tena.mimi ngumi sijui ila omba usikutane na mkwala wangu!
dah nimewah kupigwa na jamaa. mi napenda saana mpira afu ni mshabiki wa man u.siku moja tulikua tunacheza man u na chelsea.hii mechi kawaida huwa inakelele saana na mimi ndo nilikua na kelele mle ndani na nakumbuka man u tulishindaga 2-1 goli la pili alifunga lingard kutokea sub.mimi nilikaa mbele ya jamaa wa chelsea baada ya kuwafunga nikawa na kelele saana.jamaa akanambia namtinga mbele haoni. nikamwambia weee mpumbavu utanambia nini wewe kwa dharau. daah kumbe jamaa kachukia. alinisogelea nikashtukia kanipiga kichwa kimoja matata saana nikaona maluelue mpaka kudondokea ving'amuzi.ile nainuka nakutana na ngumi ya uso nikadondoka chini tena na ilikua karibu na mlango.nilivyo inuka niliangalia mlango nikatoka nduuki break maskan na kelele zoote ziliisha.asubuh niliamka nimevimba uso nilikua kituko mtaani.
ahahahahahahahahahahahah mkuu toka sikuile niliingia gym kutafuta tu muscle twakutambia mjini.Hahahahahahah mkuu umenifanya nisahu 10k yangu nilipigwa na kanji
nilikua sijakwiva mkuu nilikua na ubabe wa mdomoni tu ila saizi ukija vibaya nakuchapa vizuri tu.Wewe sio mwanaume halisi.
πππSikomi ng'oooo.
Mi huwa napenda watu kama wewe, kilomolomo kingi nguvu kisoda π€£π€£π€£
ntakutafuta nilipe kisasi dadeki sijasahauMi nakumbuka ilikua mwaka 2000 niko form four tulikua sekondari ila tumepanga mtaani geto sasa kuna jamaa flani alikua anasoma veta tulipanga nae mtaani hapo sasa mi nilikua wakishua jamaa mtoto wa mbwa nazani akawa na wivu sasa kesho yake alikua anasafiri kuludi kwao alikua amefunga chuo sasa usiku nimekaa nakuta jamaa kaja kukojoa mlangoni kwangu mkojo wote ukaingia ndani aisee nilipata hasira jamaa alikua ananichukulia poa ile kutoka sikumuuliza nilimpa ngumu kama tatu za uso zile kali sana nikapiga kama ngumi nne za mbavu nikapiga mbili za tumbo jamaa aka fleti chini katepeta hakuamini washkaji walikua nje walishangilia hatari miluzi sana alafu jamaa lilikua kubwaa nikalikalisha ila kusema ukweli nili mbahatisha tu jamaa kwa uoga nasikia aliamka saa kumi usiku akawai stendi aliogopa labda kesho ntamuendelezea. sikuwai kumuona tena yule jamaa da ningemuua siku ile alafu kilichonipa courage ni ngumi za tyson nikasema ngoja ni test kwa huyu
ha ha ha ha ha tushazeeka siku hizi mkuu mambo haya tunawaachia vijana saizi mtu akizingua unanyanya simu tu defender linamtafuta akikaa wiki kule mnaheshimianantakutafuta nilipe kisasi dadeki sijasahau