Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #121
ahahhah inabdi tukuwekee kwenye pombeKwa nilivyojizatiti kwa sasa huo ukimwi labda niulie kwenye ugali mkuu😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahhah inabdi tukuwekee kwenye pombeKwa nilivyojizatiti kwa sasa huo ukimwi labda niulie kwenye ugali mkuu😁
itakuwa anaenda kavu kavuJichanganye😁
Hahahah labdaahahhah inabdi tukuwekee kwenye pombe
ngoja niwaambie wazunguHahahah labda
Hichi ni kile Cha kutumia sample ya mate..Nina mwaka sijapima ila leo nimeamua kupima natumia kipimo hiki cha mate vipimo vya kutoboana na sindano kwangu sivipendi.
Je, wewe mara ya mwisho kupima lini kama ujapima pima?
View attachment 3088593
utumie doziKitu hakina dawa unapima Ili iweje
uh hunatakiwa kupima tenaMara ya mwisho kupima ilikuwa 2011! 13yrz ago.
o poa kabisaHichi ni kile Cha kutumia sample ya mate..
Unachukua sample ya mate yako unajipimaa..
Nakusalimia mdogo angu upo powa unaendeleajee.
Wazungu wapi mkuu😆😆😆ngoja niwaambie wazungu
wachanganye virus kidogWazungu wapi mkuu😆😆😆
Bwana wee sijui wanataka nisema mara ngapiHuyu mzabzab si alishasema humu muda mrefu kuwa ameyakanyaga?