Mara ya mwisho Simba kutwaa ubingwa wa Ligi hali ilikuwa hivi

Mara ya mwisho Simba kutwaa ubingwa wa Ligi hali ilikuwa hivi

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
images - 2025-02-15T191115.902.jpeg

Mara ya Mwisho 5imba kutwaa ubingwa wa Ligi kuu Tanzania bara mambo yalikuwa hivi -;
1.Laizer alikuwa na jiwe la Tanzanite, amelificha mahali anasubiri kuuza

2.Magufuli alikuwa mgombea Urais CCM

3.Zuchu alikuwa hajajiunga Wasafi

4.Mwana FA alikuwa hajaingia kwenye siasa

5.Billnas alikuwa hajamchumbia Nandy

6.Corona ilikuwa haijaingia duniani

7.Rais Samia alikuwa bado mgombea mwenza CCM

8.Pierre Nkurunzinza, Mkapa, Mwinyi walikuwa wanadunda kwa afya tele!

9.Vuguvugu la katiba mpya na maridhiano hayakuwepo

10.Bei ya sukari ilikuwa Tsh 1500/kilo

11. ...... Ongezea nyingine 😃😀😀
 
Beira boy nilikuwaga naitwa NANYUPU

Kitambo

General muhooz alikuwa bado hajawa CDF wa uganda
 
View attachment 3237185
Mara ya Mwisho 5imba kutwaa ubingwa wa Ligi kuu Tanzania bara mambo yalikuwa hivi -;
1.Laizer alikuwa na jiwe la Tanzanite, amelificha mahali anasubiri kuuza

2.Magufuli alikuwa mgombea Urais CCM

3.Zuchu alikuwa hajajiunga Wasafi

4.Mwana FA alikuwa hajaingia kwenye siasa

5.Billnas alikuwa hajamchumbia Nandy

6.Corona ilikuwa haijaingia duniani

7.Rais Samia alikuwa bado mgombea mwenza CCM

8.Pierre Nkurunzinza, Mkapa, Mwinyi walikuwa wanadunda kwa afya tele!

9.Vuguvugu la katiba mpya na maridhiano hayakuwepo

10.Bei ya sukari ilikuwa Tsh 1500/kilo

11. ...... Ongezea nyingine 😃😀😀
2,3,6,7 na 8 ni UONGO!!!
 
View attachment 3237185
Mara ya Mwisho 5imba kutwaa ubingwa wa Ligi kuu Tanzania bara mambo yalikuwa hivi -;
1.Laizer alikuwa na jiwe la Tanzanite, amelificha mahali anasubiri kuuza

2.Magufuli alikuwa mgombea Urais CCM

3.Zuchu alikuwa hajajiunga Wasafi

4.Mwana FA alikuwa hajaingia kwenye siasa

5.Billnas alikuwa hajamchumbia Nandy

6.Corona ilikuwa haijaingia duniani

7.Rais Samia alikuwa bado mgombea mwenza CCM

8.Pierre Nkurunzinza, Mkapa, Mwinyi walikuwa wanadunda kwa afya tele!

9.Vuguvugu la katiba mpya na maridhiano hayakuwepo

10.Bei ya sukari ilikuwa Tsh 1500/kilo

11. ...... Ongezea nyingine 😃😀😀
FaizaFoxy alikuwa Bado mwanamwali
 
Mtu mume Diamond Platnumz alikuwa hajamjua mtu mke Mobetto 😀
 
Kikwete alikuwa amechakaa japo amestafu

USSR
 
Yanga ilikua haijaingia makundi club bingwa kwa miaka 16 wakati huo....
 
Back
Top Bottom