Mara ya Nne leo nalishwa na Mungu. Miujiza na Mungu yupo

Mara ya Nne leo nalishwa na Mungu. Miujiza na Mungu yupo

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Kutokana na changamoto wakati mwingine unajikuta upo kazini mambo hayajakaa sawa hata pesa ya Lunch hamna.
Mara ya kwanza ilipotokea nilichukulia tu kuwa ni coincidence haikuwa na lolote jipya.

Ofisini kwangu nafanya kazi na raia wa nchi mbali mbali hasa za asia na kiarabu. Siku hiyo nimeenda kazini nina pesa ya nauli tu. Hata sikuweza kwenda na gari sometme mambo yanakuwa tight sana ndugu zangu. Basi mchana akaja dada mmoja mwenye asil ya kihindi akaniletea chakula toka kwao. Nikamshukuru sana. Nikala na kingine nikaenda nacho home.

Siku zikapita kuna siku tena ikatokea nipo majalala mchana hauelewek na njaa inauma sana.mida ya saa tano na nusu akaja dada mwingine akaleta msosi akaniwekea mezani pangu akaondoka. Nikamshukuru Mungu pia maana ulikuwa muujiza.

Siku nyingine ikatokea tena hivyo hivyo hali mbaya kiuchumi sina pesa ya kula. Akaja mama mmoja ambaye yeye anatokea nchi za kiarabu.ilikuwa siku moja baada ya Eid akanikabidhi mfuko mkubwa. Kuwa hiyo ni zawadi yangu ya sikukuu....maskini mpaka machoz yalikaribia kunitoka maana kiukweli sikuwa na pesa na nlikuwa na njaa mchana umekaribia sisi wengine tunakula mara tano kwa siku ukikosa chakula mchana unachanganyikiwa. Nikapiga msosi birian,nyama na makando kando mengine. Mwingine nikagawa kwa jamaa zangu na kidogo nikabeba.

Leo ndo imebidi niwashirikishe wenzangu kuwa miujiza ipo na Mungu anaweza walisha watu wake. Sina hili wala lile najua mchana ukifika sina pesa mfukoni sababu nliyokuwa nayo kuna mtu nlimpa kwa dharura. Mara nakuta mezani pangu ofisin pana mfuko. Nikaweka pembeni maana sikujua ni wa nani.nikaendelea kutumia computer yangu. Mara akaingia dada mmoja akanambia ule mfuko una lunch yangu maalum.nikachukua nikamshukuru Mungu.

Nashukuru kwa mambo haya ambayo kwa mtizamo wa kibinadamu ni kama madogo sana. Lakin ukitizama kwa undani unagundua ni mambo makubwa na si kwamba ni coincidence.
 
Kutokana na changamoto wakati mwingine unajikuta upo kazini mambo hayajakaa sawa hata pesa ya Lunch hamna.
Mara ya kwanza ilipotokea nilichukulia tu kuwa ni coincidence haikuwa na lolote jipya.

Ofisini kwangu nafanya kazi na raia wa nchi mbali mbali hasa za asia na kiarabu. Siku hiyo nimeenda kazini nina pesa ya nauli tu. Hata sikuweza kwenda na gari sometme mambo yanakuwa tight sana ndugu zangu. Basi mchana akaja dada mmoja mwenye asil ya kihindi akaniletea chakula toka kwao. Nikamshukuru sana. Nikala na kingine nikaenda nacho home.

Siku zikapita kuna siku tena ikatokea nipo majalala mchana hauelewek na njaa inauma sana.mida ya saa tano na nusu akaja dada mwingine akaleta msosi akaniwekea mezani pangu akaondoka. Nikamshukuru Mungu pia maana ulikuwa muujiza.

Siku nyingine ikatokea tena hivyo hivyo hali mbaya kiuchumi sina pesa ya kula. Akaja mama mmoja ambaye yeye anatokea nchi za kiarabu.ilikuwa siku moja baada ya Eid akanikabidhi mfuko mkubwa. Kuwa hiyo ni zawadi yangu ya sikukuu....maskini mpaka machoz yalikaribia kunitoka maana kiukweli sikuwa na pesa na nlikuwa na njaa mchana umekaribia sisi wengine tunakula mara tano kwa siku ukikosa chakula mchana unachanganyikiwa. Nikapiga msosi birian,nyama na makando kando mengine. Mwingine nikagawa kwa jamaa zangu na kidogo nikabeba.

Leo ndo imebidi niwashirikishe wenzangu kuwa miujiza ipo na Mungu anaweza walisha watu wake. Sina hili wala lile najua mchana ukifika sina pesa mfukoni sababu nliyokuwa nayo kuna mtu nlimpa kwa dharura. Mara nakuta mezani pangu ofisin pana mfuko. Nikaweka pembeni maana sikujua ni wa nani.nikaendelea kutumia computer yangu. Mara akaingia dada mmoja akanambia ule mfuko una lunch yangu maalum.nikachukua nikamshukuru Mungu.

Nashukuru kwa mambo haya ambayo kwa mtizamo wa kibinadamu ni kama madogo sana. Lakin ukitizama kwa undani unagundua ni mambo makubwa na si kwamba ni coincidence.
waarabu??[emoji23] [emoji23] usikute unalishwa na majini[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
 
Kutokana na changamoto wakati mwingine unajikuta upo kazini mambo hayajakaa sawa hata pesa ya Lunch hamna.
Mara ya kwanza ilipotokea nilichukulia tu kuwa ni coincidence haikuwa na lolote jipya.

Ofisini kwangu nafanya kazi na raia wa nchi mbali mbali hasa za asia na kiarabu. Siku hiyo nimeenda kazini nina pesa ya nauli tu. Hata sikuweza kwenda na gari sometme mambo yanakuwa tight sana ndugu zangu. Basi mchana akaja dada mmoja mwenye asil ya kihindi akaniletea chakula toka kwao. Nikamshukuru sana. Nikala na kingine nikaenda nacho home.

Siku zikapita kuna siku tena ikatokea nipo majalala mchana hauelewek na njaa inauma sana.mida ya saa tano na nusu akaja dada mwingine akaleta msosi akaniwekea mezani pangu akaondoka. Nikamshukuru Mungu pia maana ulikuwa muujiza.

Siku nyingine ikatokea tena hivyo hivyo hali mbaya kiuchumi sina pesa ya kula. Akaja mama mmoja ambaye yeye anatokea nchi za kiarabu.ilikuwa siku moja baada ya Eid akanikabidhi mfuko mkubwa. Kuwa hiyo ni zawadi yangu ya sikukuu....maskini mpaka machoz yalikaribia kunitoka maana kiukweli sikuwa na pesa na nlikuwa na njaa mchana umekaribia sisi wengine tunakula mara tano kwa siku ukikosa chakula mchana unachanganyikiwa. Nikapiga msosi birian,nyama na makando kando mengine. Mwingine nikagawa kwa jamaa zangu na kidogo nikabeba.

Leo ndo imebidi niwashirikishe wenzangu kuwa miujiza ipo na Mungu anaweza walisha watu wake. Sina hili wala lile najua mchana ukifika sina pesa mfukoni sababu nliyokuwa nayo kuna mtu nlimpa kwa dharura. Mara nakuta mezani pangu ofisin pana mfuko. Nikaweka pembeni maana sikujua ni wa nani.nikaendelea kutumia computer yangu. Mara akaingia dada mmoja akanambia ule mfuko una lunch yangu maalum.nikachukua nikamshukuru Mungu.

Nashukuru kwa mambo haya ambayo kwa mtizamo wa kibinadamu ni kama madogo sana. Lakin ukitizama kwa undani unagundua ni mambo makubwa na si kwamba ni coincidence.
Kuna Movie inaitwa pk ya Aamir Khan akili yake kama yako...

Na pia umenikumbusha ile Hadithi ya Jamaa yupo Hospital kidole chake kikawa kinawasha akamuambia Nesi kidole changu kinawasha Nesi akashika kidole akakitia mdomoni kwake kikaacha kuwasha basi jamaa akadai hapo hapo na kikojoleo changu kinawasha nesi.... Nesi akamuambia Nyooo...
 
Kutokana na changamoto wakati mwingine unajikuta upo kazini mambo hayajakaa sawa hata pesa ya Lunch hamna.
Mara ya kwanza ilipotokea nilichukulia tu kuwa ni coincidence haikuwa na lolote jipya.

Ofisini kwangu nafanya kazi na raia wa nchi mbali mbali hasa za asia na kiarabu. Siku hiyo nimeenda kazini nina pesa ya nauli tu. Hata sikuweza kwenda na gari sometme mambo yanakuwa tight sana ndugu zangu. Basi mchana akaja dada mmoja mwenye asil ya kihindi akaniletea chakula toka kwao. Nikamshukuru sana. Nikala na kingine nikaenda nacho home.

Siku zikapita kuna siku tena ikatokea nipo majalala mchana hauelewek na njaa inauma sana.mida ya saa tano na nusu akaja dada mwingine akaleta msosi akaniwekea mezani pangu akaondoka. Nikamshukuru Mungu pia maana ulikuwa muujiza.

Siku nyingine ikatokea tena hivyo hivyo hali mbaya kiuchumi sina pesa ya kula. Akaja mama mmoja ambaye yeye anatokea nchi za kiarabu.ilikuwa siku moja baada ya Eid akanikabidhi mfuko mkubwa. Kuwa hiyo ni zawadi yangu ya sikukuu....maskini mpaka machoz yalikaribia kunitoka maana kiukweli sikuwa na pesa na nlikuwa na njaa mchana umekaribia sisi wengine tunakula mara tano kwa siku ukikosa chakula mchana unachanganyikiwa. Nikapiga msosi birian,nyama na makando kando mengine. Mwingine nikagawa kwa jamaa zangu na kidogo nikabeba.

Leo ndo imebidi niwashirikishe wenzangu kuwa miujiza ipo na Mungu anaweza walisha watu wake. Sina hili wala lile najua mchana ukifika sina pesa mfukoni sababu nliyokuwa nayo kuna mtu nlimpa kwa dharura. Mara nakuta mezani pangu ofisin pana mfuko. Nikaweka pembeni maana sikujua ni wa nani.nikaendelea kutumia computer yangu. Mara akaingia dada mmoja akanambia ule mfuko una lunch yangu maalum.nikachukua nikamshukuru Mungu.

Nashukuru kwa mambo haya ambayo kwa mtizamo wa kibinadamu ni kama madogo sana. Lakin ukitizama kwa undani unagundua ni mambo makubwa na si kwamba ni coincidence.
Angalia waume zao wasije kukumombasa kizenji tu... Angalizo tu hilo nakupa Jk Alisema Mla Huliwa
 
Mkuu kwa hiyo hata wewe umekula 'MANA'?😀😀😀😀😀😀 Aliyesema baadhi ya watu hutumia 1% nadhani ali exaggerate, ukweli ni chini ya hapo.

Unajua maana ya miujiza kweli? unajua sifa za kulifanya tukio ili liitwe muujiza?

Una uhakika kuwa Mungu ndiye aliyesababisha uletewe chakula?
 
Sibora yangekua majini.
Mtu anatumia computer ofisini, anafanya kazi na watu wa mataifa tofauti tofatuti lakini hela ya kula anakosa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haya maajabu unaweza hadithiwa humu humuj f peke yake[emoji19] [emoji19] [emoji19]
 
Back
Top Bottom