Mara ya Nne leo nalishwa na Mungu. Miujiza na Mungu yupo

Mara ya Nne leo nalishwa na Mungu. Miujiza na Mungu yupo

Hizo asili ulizotaja huwa wanagawa makombo angalia kijana unakula vichafu.
Mpendwa Bimkubwa.., Tafadhwali tena kwa heshima zote acha kujumuisha... usijumlishe "ati hizo asili" Mie mbona sijaona nyumbani kwetu au ktk ukoo wetu kulisha mtu kilichobaki...
Sema huwa tuna chinja mbuzi,kondoo au hata ngamia na kugawa nyama kwa majirani na hadi kupeleka nje ya miji... We call it Swadaqa !!

Acheni nong'wa na chuki zisizo na tija au faida...

bigmind Swadaqa imeshakuwa shetani khaaaaah !! jamani kuweni wastaarabu!!
 
suala si rangi au race. Yesu alipewa maji na mwanamke MSAMARIA. Mungu anapotaka kufanya jambo hutumia vilivyo vinyonge kutenda makuu. so dini,rangi kabila si kitu. na mimi ni Mkristo but trust me hao ndio ambao nimekuwa nikishirikiana nao kwa ukaribu wakiwepo na wakristo wengine pia. Uarabu ,uhindi au uzungu wao has got nothing to do with me. mi nawaona kama ni viumbe vya Mungu. kuhusu jinsia zao hilo kwangu si tatizo pia na halikuwah kuwa tatizo. mi nafaham mchango mkubwa walio nao wanawake katika maisha. na hasa kuwasaidia watu au wenye shida kuliko wanaume.

na kwa bahati mbaya au nzuri sikulelewa yale maisha ya kuamini mwanamke akiwa kind kwako basi atakuwa anakutaka au anataka uwe na uhusiano naye wa kimapenzi. alas....thats not how i was raised by my parents ambao wanaamini kila mtu anapaswa aheshimiwe kwa kiwango kile kile ninachotaka mimi niheshimiwe.

kebehi au kashfa zinazokuwa posted after what i have said wala si shida kwangu. najua wengine wanafanya yale ambao baba yao aliyatenda huko nyuma kwa watu wa Mungu, mitume na manabii. but kwa hiki ambacho nimeandika ni kile ambcho ninaamini so silazimishi mtu aamini hivi ila nimeona kumshukuru Mungu au kutoa ushuhuda huu ni jambo jema pia. kitu ambacho ni wazi shetani asingependa maana anapenda aone mitandao siku zote itumike negatively.
Kuna watu walikuwa safarini wakaharibikiwa na gari usiku maeneo flani hapa jirani. Kwa sababu ni kamji kadogo hawakuweza kupata huduma ya service kwa muda ule, wakaamua walale garini. Basi wakawa wanatafuta sehemu watakayoweza kupata chakula, sehemu nyingi zikawa zimeshafungwa na vibanda vya chips navyo vikawa vimefungwa, basi ikawa kila wanakopita hamna chakula, baba mmoja akawaambia kama hawatojali basi awape chakula cha home kwake, wale jamaa wakakubali (japo ilishangaza), yule baba akamuita mkewe akamuuliza kama kuna chakula kilichobakia coz kuna wageni, walikuwa wanaume watano, mke akasema kipo lakini kwa idadi yao hakitoshi, yule baba akamwambia mkewe akipeleke hicho hicho watulize njaa pakuche... Naskia wale watu walikula wakashiba na wakasaza... Naskia walishangaa kweli, kila wakila wanaona chakula kipo pale pale hakisogei..
Mwenyewe ilikuwa ngumu kweli kuelewa hilo tukio..
 
Kuna watu walikuwa safarini wakaharibikiwa na gari usiku maeneo flani hapa jirani. Kwa sababu ni kamji kadogo hawakuweza kupata huduma ya service kwa muda ule, wakaamua walale garini. Basi wakawa wanatafuta sehemu watakayoweza kupata chakula, sehemu nyingi zikawa zimeshafungwa na vibanda vya chips navyo vikawa vimefungwa, basi ikawa kila wanakopita hamna chakula, baba mmoja akawaambia kama hawatojali basi awape chakula cha home kwake, wale jamaa wakakubali (japo ilishangaza), yule baba akamuita mkewe akamuuliza kama kuna chakula kilichobakia coz kuna wageni, walikuwa wanaume watano, mke akasema kipo lakini kwa idadi yao hakitoshi, yule baba akamwambia mkewe akipeleke hicho hicho watulize njaa pakuche... Naskia wale watu walikula wakashiba na wakasaza... Naskia walishangaa kweli, kila wakila wanaona chakula kipo pale pale hakisogei..
Mwenyewe ilikuwa ngumu kweli kuelewa hilo tukio..
Ahssante.. na Ushukuriwe kwa Ujumbe huu "kila kitu cha wezekana chini ya jua hili" nami naamini kabisa kuwa Rizqi ya mja huteremshwa kwa wakati maalum na ktk mahitaji maalum..

ila humu kuna wachache wana vision finyu.... !!

ubarikiwe Patience123 Chizi Maarifa shukran na mubarikiwe kuleta ujumbe huu..!!
 
Mkuu kwa hiyo hata wewe umekula 'MANA'?😀😀😀😀😀😀 Aliyesema baadhi ya watu hutumia 1% nadhani ali exaggerate, ukweli ni chini ya hapo.

Unajua maana ya miujiza kweli? unajua sifa za kulifanya tukio ili liitwe muujiza?

Una uhakika kuwa Mungu ndiye aliyesababisha uletewe chakula?
Endelea hivyo hivyo kukataa ishara za ALLAH,lakini uzuri ni kwamba lazima utakufa na siku utakayokufa utakua umethibitisha kauli ya ALLAH kivitendo
 
Uliposema huwa unakula mara tano kwa siku ndio umeharibu,,,,hujui kuna watu hula mara moja kwa siku!!! fanya ule mara tatu kwa siku kutoka tano halafu uone kama kuna siku utaishiwa. Na ukifanya hivyo hiyo miujiza Mungu atawapelekea wengine wanaokosa kabisa au kula mlo mmoja kwa siku
 
Una pepo la UKIMWI linakuandama ww c bure kwa nn ni madada tuuuuu
 
Mpendwa Bimkubwa.., Tafadhwali tena kwa heshima zote acha kujumuisha... usijumlishe "ati hizo asili" Mie mbona sijaona nyumbani kwetu au ktk ukoo wetu kulisha mtu kilichobaki...
Sema huwa tuna chinja mbuzi,kondoo au hata ngamia na kugawa nyama kwa majirani na hadi kupeleka nje ya miji... We call it Swadaqa !!

Acheni nong'wa na chuki zisizo na tija au faida...

bigmind Swadaqa imeshakuwa shetani khaaaaah !! jamani kuweni wastaarabu!!
Samahani kama nimekwaza ulikuwa mtazamo wangu unaweza kuwa si sahihi kabisa.
 
Ungekuwa unasoma Biblia au hata kusikiliza kidogo mahubiri ungeweza kuelewa. Mungu hutumia hata ndege acha wanawake tu. Eliya alilishwa na mwanamke "TENA MJANE AMBAYE ALIBAKIWA NA CHAKULA KIDOGO TU WAKTI WA NJAA" angekuwa ni wa dunia ya leo angetaka amdanganye yule mama kuwa anampenda na atamwoa ili afanye naye mapenzi. lakini hakuwa na akili kama zako. hivyo alihudumiwa kile chakula cha mwisho cha mwanamke mjane na mwanawe ambao walikuwa wale halafu kutokana na njaa iliyokuwepo nchini pale wangekaa kusubiria kufa.

ndugu yangu najua wewe ungekuwa unasubiria waje wakiume. but mimi sikusubiria na sikuona shida kuwa ni wa jinsia ya ke. nliamini kuwa ni watu wema ambao wameamua kunisaidia na ikawa hivyo mpaka leo nina afya njema na nipo nao ofisini bila shida.tunaheshimiana na kupendana kama ndugu pasipo kujali dini zao, pasipo kujali rangi zao,pasipo kujali makabila yao, pasipo kujali utaifa wao. na hii ndiyo dunia ambayo Mungu alitaka tuishi. kama tukiweza kuishi kama Binadamu.


Mungu wako anawatumia wadada tu!!!
 
Ungekuwa unasoma Biblia au hata kusikiliza kidogo mahubiri ungeweza kuelewa. Mungu hutumia hata ndege acha wanawake tu. Eliya alilishwa na mwanamke "TENA MJANE AMBAYE ALIBAKIWA NA CHAKULA KIDOGO TU WAKTI WA NJAA" angekuwa ni wa dunia ya leo angetaka amdanganye yule mama kuwa anampenda na atamwoa ili afanye naye mapenzi. lakini hakuwa na akili kama zako. hivyo alihudumiwa kile chakula cha mwisho cha mwanamke mjane na mwanawe ambao walikuwa wale halafu kutokana na njaa iliyokuwepo nchini pale wangekaa kusubiria kufa.

ndugu yangu najua wewe ungekuwa unasubiria waje wakiume. but mimi sikusubiria na sikuona shida kuwa ni wa jinsia ya ke. nliamini kuwa ni watu wema ambao wameamua kunisaidia na ikawa hivyo mpaka leo nina afya njema na nipo nao ofisini bila shida.tunaheshimiana na kupendana kama ndugu pasipo kujali dini zao, pasipo kujali rangi zao,pasipo kujali makabila yao, pasipo kujali utaifa wao. na hii ndiyo dunia ambayo Mungu alitaka tuishi. kama tukiweza kuishi kama Binadamu.
We bana bado unanichanganya tu. Ila poa ....tumsifu Yesu Kristo
 
Kutokana na changamoto wakati mwingine unajikuta upo kazini mambo hayajakaa sawa hata pesa ya Lunch hamna.
Mara ya kwanza ilipotokea nilichukulia tu kuwa ni coincidence haikuwa na lolote jipya.

Ofisini kwangu nafanya kazi na raia wa nchi mbali mbali hasa za asia na kiarabu. Siku hiyo nimeenda kazini nina pesa ya nauli tu. Hata sikuweza kwenda na gari sometme mambo yanakuwa tight sana ndugu zangu. Basi mchana akaja dada mmoja mwenye asil ya kihindi akaniletea chakula toka kwao. Nikamshukuru sana. Nikala na kingine nikaenda nacho home.

Siku zikapita kuna siku tena ikatokea nipo majalala mchana hauelewek na njaa inauma sana.mida ya saa tano na nusu akaja dada mwingine akaleta msosi akaniwekea mezani pangu akaondoka. Nikamshukuru Mungu pia maana ulikuwa muujiza.

Siku nyingine ikatokea tena hivyo hivyo hali mbaya kiuchumi sina pesa ya kula. Akaja mama mmoja ambaye yeye anatokea nchi za kiarabu.ilikuwa siku moja baada ya Eid akanikabidhi mfuko mkubwa. Kuwa hiyo ni zawadi yangu ya sikukuu....maskini mpaka machoz yalikaribia kunitoka maana kiukweli sikuwa na pesa na nlikuwa na njaa mchana umekaribia sisi wengine tunakula mara tano kwa siku ukikosa chakula mchana unachanganyikiwa. Nikapiga msosi birian,nyama na makando kando mengine. Mwingine nikagawa kwa jamaa zangu na kidogo nikabeba.

Leo ndo imebidi niwashirikishe wenzangu kuwa miujiza ipo na Mungu anaweza walisha watu wake. Sina hili wala lile najua mchana ukifika sina pesa mfukoni sababu nliyokuwa nayo kuna mtu nlimpa kwa dharura. Mara nakuta mezani pangu ofisin pana mfuko. Nikaweka pembeni maana sikujua ni wa nani.nikaendelea kutumia computer yangu. Mara akaingia dada mmoja akanambia ule mfuko una lunch yangu maalum.nikachukua nikamshukuru Mungu.

Nashukuru kwa mambo haya ambayo kwa mtizamo wa kibinadamu ni kama madogo sana. Lakin ukitizama kwa undani unagundua ni mambo makubwa na si kwamba ni coincidence.
We endelea kufurahia vya buree!! Mjini hapa
 
Duh hizi ofisi zinaficha mengi,mzee unakata ringi kwenye mazingira kama hayo mpaka ya lunch utata?
 
For as he thinketh in his heart, so is he.
 
Mkuu utakuja uolewe, unafanya kazi Tena unachezea komputer halafu huna hata pesa ya kula, halafu unaletewa mifuko ya chakula wewe unasifia na kuila Bila hata ya kuhoji, da ni hatari Sana hiyo mkuu.
 
Ungekuwa unasoma Biblia au hata kusikiliza kidogo mahubiri ungeweza kuelewa. Mungu hutumia hata ndege acha wanawake tu. Eliya alilishwa na mwanamke "TENA MJANE AMBAYE ALIBAKIWA NA CHAKULA KIDOGO TU WAKTI WA NJAA" angekuwa ni wa dunia ya leo angetaka amdanganye yule mama kuwa anampenda na atamwoa ili afanye naye mapenzi. lakini hakuwa na akili kama zako. hivyo alihudumiwa kile chakula cha mwisho cha mwanamke mjane na mwanawe ambao walikuwa wale halafu kutokana na njaa iliyokuwepo nchini pale wangekaa kusubiria kufa.

ndugu yangu najua wewe ungekuwa unasubiria waje wakiume. but mimi sikusubiria na sikuona shida kuwa ni wa jinsia ya ke. nliamini kuwa ni watu wema ambao wameamua kunisaidia na ikawa hivyo mpaka leo nina afya njema na nipo nao ofisini bila shida.tunaheshimiana na kupendana kama ndugu pasipo kujali dini zao, pasipo kujali rangi zao,pasipo kujali makabila yao, pasipo kujali utaifa wao. na hii ndiyo dunia ambayo Mungu alitaka tuishi. kama tukiweza kuishi kama Binadamu.
Mkuu Mungu apewe sifa, kwa upande wangu sipingani nawe kuhusu hiyo miujiza ila napenda kujua hao wanaokuletea msosi ni staff wenzio unaowajua au?
 
Back
Top Bottom