Mara yako ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

Dah...kwa kifupi sijawahi kutongoza...msemakweli mpenzi wa Mungu...
Kutongoza ni kughilibu kwa maneno ya uongo kwa minajili ya kupata huduma au kitu Fulani [emoji2960]
[emoji2][emoji2] daah tuseme ni voko huna ama hutaki dhambi ya uongo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…