Mara yako ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

Mara yako ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

Dah mara ya kwanza kupigwa sound aisee niliona aibu darasa zimaa [emoji1]..... Yule mkaka alijua kuniaibisha kwa form 3 wote lkn sikuwahi kumkubalia ata siku moja mpk tunamaliza shule. Lkn watu wote walijua mi nadate na yule mtu lkn si kweli. Yeye alikuwa Yuko open Sana kusema kwa watu, kuwa huyu ni mschana wangu, naletewa vitu ata Mimi mwenyewe sijavitaka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119].

Nikiumwa ss nakuwa km malaika Mimi, na hizi shule zetu za kayumba ohooo sikosi kitu cha kukaa, yeye ameshanitengea tyr, na hivi zilikuwa zimo kichwani kwangu acha kbs [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Na alikuwa anasemaga ww lazima nije kukuoa [emoji3]. Nilivyoenda elimu ya juu na yeye akafeli, akaona huyu si level yng tena, nimerudi nikasikia ameoa na ana wtt 2. Sina mawasiliano nae mpk leo. Sikuwah kumpenda.
 
Dah mara ya kwanza kupigwa sound aisee niliona aibu darasa zimaa [emoji1]..... Yule mkaka alijua kuniaibisha kwa form 3 wote lkn sikuwahi kumkubalia ata siku moja mpk tunamaliza shule. Lkn watu wote walijua mi nadate na yule mtu lkn si kweli. Yeye alikuwa Yuko open Sana kusema kwa watu, kuwa huyu ni mschana wangu, naletewa vitu ata Mimi mwenyewe sijavitaka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]. Nikiumwa ss nakuwa km malaika Mimi, na hizi shule zetu za kayumba ohooo sikosi kitu cha kukaa, yeye ameshanitengea tyr, na hivi zilikuwa zimo kichwani kwangu acha kbs [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Na alikuwa anasemaga ww lazima nije kukuoa [emoji3]. Nilivyoenda elimu ya juu na yeye akafeli, akaona huyu si level yng tena, nimerudi nikasikia ameoa na ana wtt 2. Sina mawasiliano nae mpk leo. Sikuwah kumpenda.
Kama alikuwa anakupa hadi kiti ndio maana hukumpenda, he was just a simp, he was just a loser.
 
I remember nilikua kiongozi shule fulani na nilikua kauzu balaa, sikuwa na mda na mahusiano kabisaa. Ila One day nakumbuka ilikua Graduation ya form four nikakutana na Binti mmoja ambae aliutingisha moyo wangu haswaa!!.

Nilikua domo zege pia so ilikua ngumu kujifungua kwa yule dada but i did my beat kumuonyesha kwa vitendo kwa jinsi nampenda.
To cut the story alinikubalia na mpaka nmemaliza Chuo nipo nae na tuna mtoto mmoja mpaka sasa so it's a Blessing kwangu na namshukuru na Kumpenda the same way nilivyomuona first time.
 
ilikuwa shule ya msingi nikiwa darasa la sita nilikuwa sijawahi kutongoza wala kutongozwa ila siku hiyo tupo disco toto kuna mdada mmoja alikuwa ni mzuri muongeaji na mcheshi ila sikuwa na mazoea naye zaidi ya utani wa hapa na pale.

siku hiyo akanifuata yeye mwenyewe tucheze wote kama kawa mkulungwa nikambambia tukalisakata sebene mpaka mida ya saa moja jioni disco likaisha, akanambia nimsindikize kwao japo alikuja na mabest zake ila akawaacha tukasepa.

njiani tumekaribia kwao vistory vya hapa na pale akanivuta kanikumbatia akanipa mdomo nami nikaelewa nikakata lita kama dakika kumi hivi aliponiachia akanambia ananipendaga tangu siku nyingi anataka niwe wake, duh mdomo ukawa mzito ghafla, mwili mzima ganzi kama nimepigwa shoti, nikajikuta tu nasema "haya sawa"🤣😂😅

tukaagana kaenda kwao mi kurudi home njia nzima sijui nini kile roho ilikuwa inadunda kukawa kama kuna kitu kimenikaba kooni siku hiyo nilishindwa hata kula 🤣 mpaka bi mkubwa anashangaa nilivyo mlafi hata nile kwa jirani na nyumbani ntakula tena nashindilia haswa🤣

ile hali ilinikaa karibu wiki nzima, maana mtoto alikuwa ananikubali hata nikiwa sina hela ya disco siku ya sikukuu ananipa ya kuingilia, kinywaji na kiingilio cha kesho yake

kimbembe tulivofika la saba nikapataga story amefanya matusi na fulani, kwa kipindi hicho sikuwa experience ya hayo makitu nikisikia tu fulani kafanya matusi najua ni malaya, nikamuacha bila kumwambia yaani nikamkaushia mpaka tunamaliza la saba

ila sijawahi kumsahau mpaka leo nikifumba macho sura yake naiona, aliwahi kunitafuta kipindi nipo chuo ila alikuwa keshazalishwa

baada ya hapo sikuwahi kukutana na kitu zali hiyo, na hata nilipokutana nalo sikuwa excited kiviile nikawa nshaota sugu hata mwanamke aniambie ananipenda minawaza kumlala tu nipite hivi, ila saa hivi nimebadilika
 
Dah mara ya kwanza kupigwa sound aisee niliona aibu darasa zimaa [emoji1]..... Yule mkaka alijua kuniaibisha kwa form 3 wote lkn sikuwahi kumkubalia ata siku moja mpk tunamaliza shule. Lkn watu wote walijua mi nadate na yule mtu lkn si kweli. Yeye alikuwa Yuko open Sana kusema kwa watu, kuwa huyu ni mschana wangu, naletewa vitu ata Mimi mwenyewe sijavitaka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]. Nikiumwa ss nakuwa km malaika Mimi, na hizi shule zetu za kayumba ohooo sikosi kitu cha kukaa, yeye ameshanitengea tyr, na hivi zilikuwa zimo kichwani kwangu acha kbs [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Na alikuwa anasemaga ww lazima nije kukuoa [emoji3]. Nilivyoenda elimu ya juu na yeye akafeli, akaona huyu si level yng tena, nimerudi nikasikia ameoa na ana wtt 2. Sina mawasiliano nae mpk leo. Sikuwah kumpenda.
Kwanini sasa jaman [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ilikuwa shule ya msingi nikiwa darasa la sita nilikuwa sijawahi kutongoza wala kutongozwa ila siku hiyo tupo disco toto kuna mdada mmoja alikuwa ni mzuri muongeaji na mcheshi ila sikuwa na mazoea naye zaidi ya utani wa hapa na pale.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah mara ya kwanza kupigwa sound aisee niliona aibu darasa zimaa [emoji1]..... Yule mkaka alijua kuniaibisha kwa form 3 wote lkn sikuwahi kumkubalia ata siku moja mpk tunamaliza shule. Lkn watu wote walijua mi nadate na yule mtu lkn si kweli. Yeye alikuwa Yuko open Sana kusema kwa watu, kuwa huyu ni mschana wangu, naletewa vitu ata Mimi mwenyewe sijavitaka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119].

Nikiumwa ss nakuwa km malaika Mimi, na hizi shule zetu za kayumba ohooo sikosi kitu cha kukaa, yeye ameshanitengea tyr, na hivi zilikuwa zimo kichwani kwangu acha kbs [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Na alikuwa anasemaga ww lazima nije kukuoa [emoji3]. Nilivyoenda elimu ya juu na yeye akafeli, akaona huyu si level yng tena, nimerudi nikasikia ameoa na ana wtt 2. Sina mawasiliano nae mpk leo. Sikuwah kumpenda.
😅😅😅
 
ilikuwa shule ya msingi nikiwa darasa la sita nilikuwa sijawahi kutongoza wala kutongozwa ila siku hiyo tupo disco toto kuna mdada mmoja alikuwa ni mzuri muongeaji na mcheshi ila sikuwa na mazoea naye zaidi ya utani wa hapa na pale.

siku hiyo akanifuata yeye mwenyewe tucheze wote kama kawa mkulungwa nikambambia tukalisakata sebene mpaka mida ya saa moja jioni disco likaisha, akanambia nimsindikize kwao japo alikuja na mabest zake ila akawaacha tukasepa.

njiani tumekaribia kwao vistory vya hapa na pale akanivuta kanikumbatia akanipa mdomo nami nikaelewa nikakata lita kama dakika kumi hivi aliponiachia akanambia ananipendaga tangu siku nyingi anataka niwe wake, duh mdomo ukawa mzito ghafla, mwili mzima ganzi kama nimepigwa shoti, nikajikuta tu nasema "haya sawa"🤣😂😅

tukaagana kaenda kwao mi kurudi home njia nzima sijui nini kile roho ilikuwa inadunda kukawa kama kuna kitu kimenikaba kooni siku hiyo nilishindwa hata kula 🤣 mpaka bi mkubwa anashangaa nilivyo mlafi hata nile kwa jirani na nyumbani ntakula tena nashindilia haswa🤣

ile hali ilinikaa karibu wiki nzima, maana mtoto alikuwa ananikubali hata nikiwa sina hela ya disco siku ya sikukuu ananipa ya kuingilia, kinywaji na kiingilio cha kesho yake

kimbembe tulivofika la saba nikapataga story amefanya matusi na fulani, kwa kipindi hicho sikuwa experience ya hayo makitu nikisikia tu fulani kafanya matusi najua ni malaya, nikamuacha bila kumwambia yaani nikamkaushia mpaka tunamaliza la saba

ila sijawahi kumsahau mpaka leo nikifumba macho sura yake naiona, aliwahi kunitafuta kipindi nipo chuo ila alikuwa keshazalishwa

baada ya hapo sikuwahi kukutana na kitu zali hiyo, na hata nilipokutana nalo sikuwa excited kiviile nikawa nshaota sugu hata mwanamke aniambie ananipenda minawaza kumlala tu nipite hivi, ila saa hivi nimebadilika
😀😅😅
 
ilikuwa shule ya msingi nikiwa darasa la sita nilikuwa sijawahi kutongoza wala kutongozwa ila siku hiyo tupo disco toto kuna mdada mmoja alikuwa ni mzuri muongeaji na mcheshi ila sikuwa na mazoea naye zaidi ya utani wa hapa na pale.

siku hiyo akanifuata yeye mwenyewe tucheze wote kama kawa mkulungwa nikambambia tukalisakata sebene mpaka mida ya saa moja jioni disco likaisha, akanambia nimsindikize kwao japo alikuja na mabest zake ila akawaacha tukasepa.

njiani tumekaribia kwao vistory vya hapa na pale akanivuta kanikumbatia akanipa mdomo nami nikaelewa nikakata lita kama dakika kumi hivi aliponiachia akanambia ananipendaga tangu siku nyingi anataka niwe wake, duh mdomo ukawa mzito ghafla, mwili mzima ganzi kama nimepigwa shoti, nikajikuta tu nasema "haya sawa"🤣😂😅

tukaagana kaenda kwao mi kurudi home njia nzima sijui nini kile roho ilikuwa inadunda kukawa kama kuna kitu kimenikaba kooni siku hiyo nilishindwa hata kula 🤣 mpaka bi mkubwa anashangaa nilivyo mlafi hata nile kwa jirani na nyumbani ntakula tena nashindilia haswa🤣

ile hali ilinikaa karibu wiki nzima, maana mtoto alikuwa ananikubali hata nikiwa sina hela ya disco siku ya sikukuu ananipa ya kuingilia, kinywaji na kiingilio cha kesho yake

kimbembe tulivofika la saba nikapataga story amefanya matusi na fulani, kwa kipindi hicho sikuwa experience ya hayo makitu nikisikia tu fulani kafanya matusi najua ni malaya, nikamuacha bila kumwambia yaani nikamkaushia mpaka tunamaliza la saba

ila sijawahi kumsahau mpaka leo nikifumba macho sura yake naiona, aliwahi kunitafuta kipindi nipo chuo ila alikuwa keshazalishwa

baada ya hapo sikuwahi kukutana na kitu zali hiyo, na hata nilipokutana nalo sikuwa excited kiviile nikawa nshaota sugu hata mwanamke aniambie ananipenda minawaza kumlala tu nipite hivi, ila saa hivi nimebadilika
😅😅😅
 
Kwa upande wangu macho huwa yanamaliza kila kitu sina haja ya kuongea

Nikikuangalia zaidi ya mara tano au sita umeisha Narudia tena hiyo kazi inakuwa imesha
Pepo ilo mkuu fanya maombi lisepe.
Nilikua kama wewe hadi wanawake wakawa hawataki niwaangalie usoni.
Nickname ikawa "Macho ya Uzinzi" nashukuru Mungu hiyo hali imenitoka sasa hivi hata mwanamke nikimwangalia usoni hapati tabu.
 
Pepo ilo mkuu fanya maombi lisepe.
Nilikua kama wewe hadi wanawake wakawa hawataki niwaangalie usoni.
Nickname ikawa "Macho ya Uzinzi" nashukuru Mungu hiyo hali imenitoka sasa hivi hata mwanamke nikimwangalia usoni hapati tabu.
😅😅😅😅 aisee macho ya uzinzi
 
😅😅😅😅 aisee macho ya uzinzi
Ukiongea na mdada yoyote unaona anavyopata shida machoni, mwingine anakua kama anasinzia sio kusinzia...mwenye kujiamini ana kuambia usiniangalie usoni tafadhali
Sema nini Wanawake ndio una wa Win vizuri tofauti na vibinti...
Macho yangu yalikua na uwekundu Fulani hivi...sasa ukiwa hivyo wadada wanajua una genye sababu hao wakiwa nazo macho yao huwa hivyo!!
 
Kila mtu ana Zamani yake.

Zamani yenye kufarahisha na Kuleta kumbukumbu ya kujicheka mwenyewe samytimez.

Miaka yetu tunabalehe, vijisimu vya goroka ndiyo vilikuwa vinachangamka, wale watoto wahuni tulikuwa tunavitumia kwa siri huku, wazazi wakipinga swala la mwanafunzi kumiliki simu.

Mtu wangu wa kwanza kumtongoza wakati naanza kupata ashki za kimwili...bahati mbaya hakuwa na simu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tupo kidato cha kwanza. Nakumbuka msichana huyo wa kwanza kumtongoza nilimuandikia barua, akanijibu YES, Shida ikaja kila nikimuona yule shuleni au mtaani, lazima nibadili njia. Yeye ndiyo akawa ananitafuta mimi.

Huyu mimi wa sasa mjanja mjanja najicheka nikikumbuka zamani yangu. #Enzi za ufala. Hebu share story yako hapa ilikuwaje mara yako ya kwanza?

Nilienda kwao huyo dogo saa mbili usiku ,nikamwambia anisindikize nikampitisha Chocho gizani ili nipige mistari kwenye mazingira ya Giza ,nikapiga mistari japo ya kipuuzi ,hata sikumbuki alijibu Nini,maana mwili ulichemka kwa uoga nikasepa[emoji3][emoji3]nikapotezea kbsa ,kumbe nilikuwa nimepanda mbegu akaanza kunitafuta yeye nikaanza mkwepa tukaja hama hayo maeneo bilabila
 
Back
Top Bottom