Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,167
Free call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 3 njoo nikuunge Bei 40000/
Malipo baada ya kazi
Malipo baada ya kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu au ndio hii?2011 nilimwandikia dogo kibarua nikaweka mistari ya kufa mtu.alafu Kuna vipengele nilikuw nakoleza na kalamu nyekundu (utoto bana[emoji3][emoji3]).
Nilimpa mahkaj akampelekea katkat nimeweka noti ya 500 ile noti ya zaman (wakulungwa usikute na mm nlichangia mademu kuomb hela[emoji3][emoji3])
Nmerudi home nakuta wazaz wa Yule dogo wapo sebulen na wazaz wangu barua imewekwa mezan.
Aseeeeee sitoisahau siku ile na sitaki kusimulia yalonikuta ila malipo n hapa hapa dunian Yule Dem sav n single maza Ana watoto wawil kila mtoto Ana baba yake.life limemchakaza haswaaa
[emoji3][emoji3]popote ulipo mtoto Bahati uangukiwe na ukuta ufe
unlimited dk auFree call tigo kwenda mitandao yote kwa miaka 3 njoo nikuunge Bei 40000/
Malipo baada ya kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]2011 nilimwandikia dogo kibarua nikaweka mistari ya kufa mtu.alafu Kuna vipengele nilikuw nakoleza na kalamu nyekundu (utoto bana[emoji3][emoji3]).
Nilimpa mahkaj akampelekea katkat nimeweka noti ya 500 ile noti ya zaman (wakulungwa usikute na mm nlichangia mademu kuomb hela[emoji3][emoji3])
Nmerudi home nakuta wazaz wa Yule dogo wapo sebulen na wazaz wangu barua imewekwa mezan.
Aseeeeee sitoisahau siku ile na sitaki kusimulia yalonikuta ila malipo n hapa hapa dunian Yule Dem sav n single maza Ana watoto wawil kila mtoto Ana baba yake.life limemchakaza haswaaa
Ko ndo ukaishia kula kwa macho mzeeNilikua namfukuziaga kimoyo moyo mtoto mmoja hivi alikua kanizidi kidato, ye form 2 mi form 1
Alikua machine ya hatari kwa sasa wanaita pisi
Dada alikua mzuri balaaa halafu hakuwa na dharau yaani MTU wa watu, wengi walimchukulia kama anaringa kwa sababu ya uzuri wake, wengi walikua wanaogopa hata kupiga nae story,
Kwahyo mi nikawa namsubiria barabarani akipita kutoka tuition namsindikiza kwao huku tukipiga story za hapa na pale,
Washikaji wakawa wananiuliza vipi ushatupa ndoano?
Nikawajibu nishakula tunda kitambooo,
Walinisifia sana kwani demu alikua Chuma kweli kweli yaani mpaka Leo yule Dada hua hachuji,
Aisee ilipita mda mrefu sana nikifanya hii tabia ya kumsindikiza na kuwadanganya washikaji zangu kua namla yule mtoto,
Roho ilikuja kuniuma baada ya kusikia yule demu kaliwa na boya mmoja hivi ambae nilikua na bifu nae pale mtaani,
Nilikua na bifu nae kuanzia Kwenye micjezo yetu mpaka wazazi wetu pia kifupi bifu La kurithi,
Nikaona nijitutumue namimi nifanye kweli sasa,
Nakumbuka nilikuatana nae kama kawaida nikaanza kumsindikiza, nikaanza kujiuma uma na voko za kishamba akawa hanielewi akaniuliza kuna tatizo gani?
Nikamuuliza et Anna unanipenda, akajibu ndio, basi niliachana nae nikiwa na furaha kinyama,
Kesho yake nilipoonana nae nikawa namkomalia sasa anipe jibu langu,
Akiuliza lipi nikawa namwambia we jana. So tushakubaliana jamani tuwe wapenzi,
Alishamgaa sana et Haaaaaaaaah!
Aisee nilijiskia aibu sana maana tulikua tunaheshimiana,
Nikawa namkwepa sitaki hata kuonana nae daah bahati nzuri alihama shule ndio nikawa afadhari kwangu, loooh ile aibu sintokuja kuisahau
😅😅😅😅mkuu au ndio hii?View attachment 1797182View attachment 1797183
Lakini ulikuwa nae??? 😅😅😅Niliogopa sana ndo tulikua tumemaliza drs la 7 nilimchukia yule kaka. Alikua kakomaaa japo tulimaliza wote std 7
😅😅😅😅Nikiwa darasa la 3 kuna msichana alinipa barua mi nikaiweka mfukoni ili niisome baadae, bahati mbaya nilikuwa monita hivyo kuna karatasi ya majina ya wanaopiga piga kelele nayo niliiweka mfukoni, jioni huwa ndo naipeleka kwa walimu ile orodha ya wapiga kelele ili wabebe viungo(viezekea vilivyotengenezwa kwa makuti ya mnazi) kupeleka kwa wanunuzi, basi mi nikajichanganya badala ya kutoa karatasi ya majina si nikawapa ile barua, ikaja somwa mbele ya wanafunzi wote mstarini du ilikuwa hatari, yule mdada wawatu nae akabebeshwa viungo nilimuonea huruma
😅😅😅😅😅Daah umenikimbusha mbali sana, nikiwa darasa la tano nilimwandikia barua mtu ninaekaa nae dawati moja kumtongoza na nikamuahidi akikubali namuhamisha shule na kumpeleka english medium. Yule fala huwa ananicheka mpaka leo.
Hapana aisee enzi zetu haya mambo ilikua badae sana. Yani la 7 tuu uwe na boyfriend hata chuchu nilikua sina hahahaa.Lakini ulikuwa nae??? 😅😅😅
[emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah lolDaah umenikimbusha mbali sana, nikiwa darasa la tano nilimwandikia barua mtu ninaekaa nae dawati moja kumtongoza na nikamuahidi akikubali namuhamisha shule na kumpeleka english medium. Yule fala huwa ananicheka mpaka leo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ikawaje.Niliogopa sana ndo tulikua tumemaliza drs la 7 nilimchukia yule kaka. Alikua kakomaaa japo tulimaliza wote std 7
😅😅😅😅😅Hapana aisee enzi zetu haya mambo ilikua badae sana. Yani la 7 tuu uwe na boyfriend hata chuchu nilikua sina hahahaa.
Dah,Mkuu mswalie mtume sisi wote ni wakosaji tuombeane kheri maisha ni mafupi sana.popote ulipo mtoto Bahati uangukiwe na ukuta ufe
Nilimchukia hadi leo simpendagi na hatukuja kuwa marafiki kabisaa. Sijui nilikua nafeel aje hicho kitu aaaaghh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ikawaje.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Dah! kama mama ataiona hii comment basi itabidi akufikirie kwenye uteuzi yaani wewe ni mwanasiasa by natural.Daah umenikimbusha mbali sana, nikiwa darasa la tano nilimwandikia barua mtu ninaekaa nae dawati moja kumtongoza na nikamuahidi akikubali namuhamisha shule na kumpeleka english medium. Yule fala huwa ananicheka mpaka leo.
We bwege kweli!! Dah...Nakumbuka nikiwa darasa la nne kulikuwa na wadada wawili marafiki sana walioshibana sasa kila mmoja akawa ananitaka ki mpango wake, na shule nilijulikana kwa vitu viwili, 1.Kuchelewa 2. na kushika namba moja kwa kila mtihani mpaka namaliza darasa la 7,
Basi wale wadada walikuwa wamenizidi madarasa mawili ila kiumri nilikuwa nimewazidi maana nilichelewa kuanza shule kisa kamali za karata (chafu tatu)
So siku moja kila mmoja akanifuata ki mpango wake kwa kuniambia anatamani tuwe wapenzi tena kwa kunipa vijisent
Me kutokana na ushamba harafu ndio mara yangu ya kwanza nikawa naogopa nikawa nawakwepa, wakiandika barua wakizituma sijibu, ikatokea siku moja mwanafunzi wa shuleni akafariki basi tukatawanyishwa mapema na njia ya kwenda home ilikuwa lazima upitie msitu wa secondary furani hivi, mmoja wa wale mademu akanifuata nyuma nyuma nilipofika kwa ule msitu nilikuwa peke yangu akanishika mkono akaanza kunikumbatia mara busu za lazima akanivuta mstuni ndani akavua nguo ile namuona uchi wake aisee nilikimbia mbio naogopa,
Rafiki yake alipofahamu kilicho tokea walizibuana wakawa maadui mpaka kwa wazazi maana waliishi karibu karibu.
Mpaka leo hii ukubwani tukikutana wananisimanga kuwa me domo zege,
mmoja amesha olewa, mwezake ndo kahaba wa kujiuza kwenye majiji makubwa huko