Marafiki Mbowe na Samia kudanganyana ni sawa au unafiki?

Marafiki Mbowe na Samia kudanganyana ni sawa au unafiki?

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Sasa wanasema ni marafiki lakini rafiki mmoja kamdanganya mwingine kwenye maridhiano na kumletea shida. Je huyo rafiki ni rafiki kweli au mnafiki . Chadema wamekosa imani na Mbowe kwasababu ya kumuamini rafiki yake


1737056740134.png
 
Ila Mbowe mhuni sana hivi hiyo 12b aliyovuta kwa mama dula imetumikaje? Na ndiyo hivyo kiendacho kwa mganga hakirudi, Mama dula kapigwa,chezea mpalestina wewe,chawa kina Lucas Mwashambwa wanakesha humu kumsifia wametoka kapa,mangi katekenya kidogo tu kavuta bulungutu.
Wewe unatakiwa ufungwe kamba na kuwahishwa haraka sana Mirembe.
 
Back
Top Bottom