Marafiki wa kweli ni wa utotoni

Nakubaliana na wewe mzee Mshana Jr, utotoni mtu anakuwa bado hajaingiwa na hila, ukubwani huku watu wameshapigwa na maisha ni mabalaa tu
 
Sahihi mkuu,hata huyu ismail azizi kader(azam fc)...jamaa wa home na hana dharau hata nkimpigia saa 6 usiku anapokea...
Ila kuna maboya nlisoma nao TUMAINI,wamebadirika ajabu na wamesahau nyakat tulizopita pamoja
Huo ndio urafiki mkuu ,kader bonge la player,,mm yupo kijna Mmoja meshak Abraham sjui sasa Yuko wap ila nshaacha kumfatilia mana aliona nikama tunalia shida kwake
 
Hongera! Ila kwa maisha ya sasa hivi kuwa na marafiki watat au wawili ni wengi sana aisee! Ukibahatika kumpata mmoja wa kweli nyakati hizi. Utakuwa ni mmojawapo wa wenye bahati kubwa!
 
Mimi sina bahati ya Marafiki [emoji24]
Sina Rafiki wa Utotoni wala wa Ukubwani,
Hua natamani sana nikiona Marafiki wameshibana, wanataniana, wanasaidiana, wanaambatana sehemu pamoja, hata nikiangalia movies inayoonesha marafiki fulani wamepambana pamoja hua nawish na mimi ningempata Mtu/Watu wa namna hiyo,

What is wrong with me [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nitakuwa rafiki yako.. Don't regret what you have! Mariposa
 


Utapata labda Kama unatabia mbovu mbovu Kama ulevi ,umalaya ,kuongelea watu uchoyo n.k tofauti na hapo utapata tu.


Mimi rafiki yangu ni Mchamungu Sana
Hapendi pombe
Hardworking

So nimeshare naye Mambo Mengi.

Na wewe ishi umo.
 
Utapata labda Kama unatabia mbovu mbovu Kama ulevi ,umalaya ,kuongelea watu uchoyo n.k tofauti na hapo utapata tu.


Mimi rafiki yangu ni Mchamungu Sana
Hapendi pombe
Hardworking

So nimeshare naye Mambo Mengi.

Na wewe ishi umo.
Unataka kusema wenye tabia mbovu hawana marafiki?
Mimi nawaona Walevi na Wazinzi kila siku wameshibana na kusaidiana halafu wataka kusemaje,

Kila Mtu huambatana na wa kuendana nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…