Marafiki wanafiki wamponza Rich Mavoko. Mwenyewe ajutia na kusaga meno

Marafiki wanafiki wamponza Rich Mavoko. Mwenyewe ajutia na kusaga meno

Ngoma ina miezi 3 lakini hata views 500K haijafikisha halafu unasema inaenda vizuri?! Najua watu wa aina yako utasema views za Youtube sio kigezo!
Youtube sio kipimo cha kusema msanii anafanya vizuri sisi tunaangalia kwenye rotation ya radio viewer nyingi za kuboost na kununua
 
WCB Ni Freemasons hub, Rich Mavoko aliona mbali kutoa kafara ndugu zake wa damu isiwe tabu bora awe wa kawaida kuliko kung'aa alafu tunakuzika mara moja.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kauli yako hiyo unaonesha wazi huna ufahamu wa kutosha kuhusu Youtube na umuhimu wa digital world kwenye sanaa!! Yaani serious unasema "views za kununua?"
Tatizo mapato ya youtube hayatabiriki sababu Google hawalipi kwa viewer ilo unalifahamu tofauti na show we ndo unapanga unapiga show kwa bei gani YouTube ni kama sehemu msanii anaweza kuitumia kujenga brand lakini hailipi kiivyo
 
Huyu Ruge sijui alikuwa ni mtu wa aina gani..

Kuna mtu anaweza kuchapiwa hata mkewe akatoka na kusema Ruge ndo kasababisha
 
Tatizo mapato ya youtube hayatabiriki sababu Google hawalipi kwa viewer ilo unalifahamu tofauti na show we ndo unapanga unapiga show kwa bei gani YouTube ni kama sehemu msanii anaweza kuitumia kujenga brand lakini hailipi kiivyo
Mbona unachanganya habari?! Wapi nimesema Google wanalipa kutokana na views?!

Nimezungumzia suala la ngoma kufanya vizuri Youtube na kuhoji kauli yako ya "views wa kununua" kwa sababu kama kweli unaifahamu vizuri Youtube na jinsi inavyofanya kazi, pia ungefahamu kwamba issues za kununua views Youtube ni utapeli mtupu!

That's one but two, vile vile huwezi kupuuza suala la views na mapato kupitia Youtube! Ingawaje mapato hayatokani na views lakini mtu mwenye views wengi, especially kutoka mataifa tofauti, ana uwezekano mkubwa wa kuvuna pesa ya kutosha kuliko mwenye views wachache.

Btw, baada ya ku-trend huko kwenye maredio kama unavyodai, ni zipi hizo shows za Mavoko zinazotokana na ku-trend?! Hakuna shaka hata kidogo kwamba Mavoko ni mwanamuziki mzuri kuliko Harmonise! But tell me ukweli wa moyo wako... leo hii ukiambiwa upewe Mavoko au Harmonize akakupigie charity show ya kukusanya pesa kwa lengo fulani, unataka kuniambia utamchukua Mavoko?!
 
Ngoma ina miezi 3 lakini hata views 500K haijafikisha halafu unasema inaenda vizuri?! Najua watu wa aina yako utasema views za Youtube sio kigezo!
Nashukuru umenijibia
 
Mtoa mada inaonekana huna taarifa sahihi kuhusu Rich, taarifa nyng ulizozitoa si za kwel ikiwamo "dokii kuwa dada wa hiari wa rich"
 
Miongoni mwa wasanii wenye msongo mkubwa mno wa mawazo basi Richard Mavoko anaongoza.

Rich amekuwa mtu mwenye kusononeka kila kukicha na kujiona mkosaji mno ingawa akiwa katika macho ya mashabiki wake huwa anajikaza kiume ili aonekane yupo sawa tu.

Kitu kinachomtia mawazo na uchungu ni ule ugumu wa maisha ambao alikumbana nao miaka ya nyuma kabla ya kujiunga WCB.

Richi maskini ya Mungu kipindi anataabika hakuna mtu hata mtu mmoja aliyejali zaidi ya Diamond Platnumz mpaka akaamua kumshika mkono kumleta WCB na kiukweli ndani ya muda mfupi mafanikio yakaanza kupanda kwa kasi sana mpaka akasahau shida alizokuwa anapitia.


Mafanikio ya Richi yalianza kuwaumiza roho marafiki zake wanafiki na wakaanza kumjaza sumu Richi ili aone kwamba Diamond anamnyonya na adui mkubwa alikuwa Dokii ambaye alijipa udada wa hiyali ili azidi kumteka akili Richard.


Kingine ambacho alikuwa anakitegemea zaidi Richard ni Clouds Media haswa marehemu Ruge , sasa tangu Ruge afariki na Clouds kuanza kuyumba yumba Richi amezidi kudhoofika kutokana na mawazo anatamani sana arudi WCB akawaombe radhi ili wamrudishe kundini ila aibu inamsuta.

Kingine kinachomumiza show siku hizi hapati na akipata malipo ni kiduchu sana na show zenyewe za msimu.

Zaidi na zaidi kinachomuuma amerudi nyuma sana kimuziki kwa sababu kipindi yupo WCB alikuwa ameshaanza kupata channel za kupata collabo za kimataifa na jina lake lilikuwa limeshaanza kutajwa tajwa kimataifa .

Tamaa zimemponza Mavoko na hii iwe fundisho kwa wengine wote.View attachment 1045845
Kwa iyo ruge kamuingiza chaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unachanganya habari?! Wapi nimesema Google wanalipa kutokana na views?!

Nimezungumzia suala la ngoma kufanya vizuri Youtube na kuhoji kauli yako ya "views wa kununua" kwa sababu kama kweli unaifahamu vizuri Youtube na jinsi inavyofanya kazi, pia ungefahamu kwamba issues za kununua views Youtube ni utapeli mtupu!

That's one but two, vile vile huwezi kupuuza suala la views na mapato kupitia Youtube! Ingawaje mapato hayatokani na views lakini mtu mwenye views wengi, especially kutoka mataifa tofauti, ana uwezekano mkubwa wa kuvuna pesa ya kutosha kuliko mwenye views wachache.

Btw, baada ya ku-trend huko kwenye maredio kama unavyodai, ni zipi hizo shows za Mavoko zinazotokana na ku-trend?! Hakuna shaka hata kidogo kwamba Mavoko ni mwanamuziki mzuri kuliko Harmonise! But tell me ukweli wa moyo wako... leo hii ukiambiwa upewe Mavoko au Harmonize akakupigie charity show ya kukusanya pesa kwa lengo fulani, unataka kuniambia utamchukua Mavoko?!
Nmeipenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi watasema huu ni udaku but ndio ukweli, mziki wa sasa bila usimamizi mzuri ni mgumu aiseeh.

Niliwahi sema humu kama ni kosa alifanya baasi ni kuondoka WCB.
Jamaa kapoteza mvuto kabisa.
Miongoni mwa wasanii wenye msongo mkubwa mno wa mawazo basi Richard Mavoko anaongoza.

Rich amekuwa mtu mwenye kusononeka kila kukicha na kujiona mkosaji mno ingawa akiwa katika macho ya mashabiki wake huwa anajikaza kiume ili aonekane yupo sawa tu.

Kitu kinachomtia mawazo na uchungu ni ule ugumu wa maisha ambao alikumbana nao miaka ya nyuma kabla ya kujiunga WCB.

Richi maskini ya Mungu kipindi anataabika hakuna mtu hata mtu mmoja aliyejali zaidi ya Diamond Platnumz mpaka akaamua kumshika mkono kumleta WCB na kiukweli ndani ya muda mfupi mafanikio yakaanza kupanda kwa kasi sana mpaka akasahau shida alizokuwa anapitia.


Mafanikio ya Richi yalianza kuwaumiza roho marafiki zake wanafiki na wakaanza kumjaza sumu Richi ili aone kwamba Diamond anamnyonya na adui mkubwa alikuwa Dokii ambaye alijipa udada wa hiyali ili azidi kumteka akili Richard.


Kingine ambacho alikuwa anakitegemea zaidi Richard ni Clouds Media haswa marehemu Ruge , sasa tangu Ruge afariki na Clouds kuanza kuyumba yumba Richi amezidi kudhoofika kutokana na mawazo anatamani sana arudi WCB akawaombe radhi ili wamrudishe kundini ila aibu inamsuta.

Kingine kinachomumiza show siku hizi hapati na akipata malipo ni kiduchu sana na show zenyewe za msimu.

Zaidi na zaidi kinachomuuma amerudi nyuma sana kimuziki kwa sababu kipindi yupo WCB alikuwa ameshaanza kupata channel za kupata collabo za kimataifa na jina lake lilikuwa limeshaanza kutajwa tajwa kimataifa .

Tamaa zimemponza Mavoko na hii iwe fundisho kwa wengine wote.View attachment 1045845

Sent from my Nokia 6 using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom