Marafiki,wapwa na mabinamu kuelekea dodoma!..........

Marafiki,wapwa na mabinamu kuelekea dodoma!..........

1)-roya hana panga kwa sasa!....
2)-sisi hapa bondeni hotel tumepumzika tu!kuna nyororo kubwa sana hapa morogoro rodi....!tumelala tu mkuu,tupo the uppermost floor.namuona fidel anapita na tukutuku mapipa hapa!tumelala tu mkuu NOTHING PERSONAL

:rip:-roya

Unajua hata dogo wangu wa mwisho huwa akiona nanyoa ndevu basi na yeye anang'ang'ania anyoe na zake....basi nampitishia mashine kidevuni kwake na anatoka mbio kwa furaha kwamba amenyoa ndevu....
Thats Baba Gift....dogo tu!
 
Unajua hata dogo wangu wa mwisho huwa akiona nanyoa ndevu basi na yeye anang'ang'ania anyoe na zake....basi nampitishia mashine kidevuni kwake na anatoka mbio kwa furaha kwamba amenyoa ndevu....
Thats Baba Gift....dogo tu!

HA HA HA HA HA HA Watuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!
 
Unajua hata dogo wangu wa mwisho huwa akiona nanyoa ndevu basi na yeye anang'ang'ania anyoe na zake....basi nampitishia mashine kidevuni kwake na anatoka mbio kwa furaha kwamba amenyoa ndevu....
Thats Baba Gift....dogo tu!
mimi ni DOGO sawa!....
lakini muulize R akupe ripot
 
Mie naondoka kesho asubuhi kuelekea Dom. Gari yangu itakuwa na nafasi ya watu watatu.
 
1)-roya hana panga kwa sasa!....
2)-sisi hapa bondeni hotel tumepumzika tu!kuna nyororo kubwa sana hapa morogoro rodi....!tumelala tu mkuu,tupo the uppermost floor.namuona fidel anapita na tukutuku mapipa hapa!tumelala tu mkuu NOTHING PERSONAL

:rip:-roya
Nimekusoma, kimwili zaidi.....kiroho waachie makasisi na watakatifu......need i say more?
Naomba Roze akanushe hii ndani ya masaa manne.
 
Nimekusoma, kimwili zaidi.....kiroho waachie makasisi na watakatifu......need i say more?
Naomba Roze akanushe hii ndani ya masaa manne.
ha ha ha!
atakanusha vipi mkuu wakati nipo nae hapa?!...
naomba niipitishe kwa niaba yake
 
Unajua hata dogo wangu wa mwisho huwa akiona nanyoa ndevu basi na yeye anang'ang'ania anyoe na zake....basi nampitishia mashine kidevuni kwake na anatoka mbio kwa furaha kwamba amenyoa ndevu....
Thats Baba Gift....dogo tu!
naona baba g anaelekea kwenye kuwa :llama::llama:......Dawa yao hawa ni kuwa:deadhorse: then hii :mod: ikija, tuna😛lane: haooooo Dom na anonymous na mama kubwa. wao wanapelekwa MOI.
 
naona baba g anaelekea kwenye kuwa :llama::llama:......Dawa yao hawa ni kuwa:deadhorse: then hii :mod: ikija, tuna😛lane: haooooo Dom na anonymous na mama kubwa. wao wanapelekwa MOI.
ha ha ha!
mkuu i wish ningeelewa ulichoandika
 
okei okei.....ingawa kuna watu wanatembea na RB wakiusikia tu unapigwa mahali wanakubeba but we will do the nidful....vp wewe ulisema utapanda pawa tila au ndo unakuja na bajaji ya Baba G?.....Nature is now taking its course

Binamu tutaweka the lowest voice

BTW mie nakuja na meli ya Kaizer:bowl::bowl::bowl:
 
Don't count your chickens before they're hatched.
.....hivi chickens hatch chickens au eggs hatch chicks?
Isengwile Lily!

Binamu hapo kwenye red umeniacha nimetafuta kwenye kamusi lakini olaa:doh::doh:
 
Back
Top Bottom