Marafiki,wapwa na mabinamu kuelekea dodoma!..........

Marafiki,wapwa na mabinamu kuelekea dodoma!..........

Hili sredi mmelikimbiza na kulichakachua kiasi kwamba, babu hajui mnadiskasi kitu gani hapa.

Kaizer hebu nifafanulie kwa hatua tafadhali.

Wenye matatizo ya viuno, mmeweka angalizo?
 
nipo nae bondeni hotek TUMEPUMZIKAA...!tunasubiri foleni iishe
Inamaana Panga la Roya limebaki mpini tu?
Na hujasikia makanyo ya Carmel kuhusu Bondeni hotel? kumbuka Boflo anakaa maeneo hayo hayo!
 
Hili sredi mmelikimbiza na kulichakachua kiasi kwamba, babu hajui mnadiskasi kitu gani hapa.

Kaizer hebu nifafanulie kwa hatua tafadhali.

Wenye matatizo ya viuno, mmeweka angalizo?


naomba niziweke vyema hansards hapa:
Asprin
JF Premium Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png


Join DateSat Mar 2008
LocationMartenity Ward
Posts 9,997
Thanks 3,326
Thanked 4,092 Times in 2,724 Posts Rep Power42
 
Hili sredi mmelikimbiza na kulichakachua kiasi kwamba, babu hajui mnadiskasi kitu gani hapa.

Kaizer hebu nifafanulie kwa hatua tafadhali.

Wenye matatizo ya viuno, mmeweka angalizo?

hao nimesikia watapanda power tiller ya GY kwa ajili ya physiotherapy.....ili mradi mkifika mnaweza kushiriki kuapishwa kwa wah. wabunge wateule wapambanaji hasa Mh Regia....
 
Askofu atahitajika kwenye safari kwa ajili ya kutufanyia maombi sijuiatakuja na Sista Gabriella

Hapa n mpaka mimi binafsi nitoe kibali.
Nilikuwa nimemuassign kaz ya kufanya maombi tokea siku ya uchaguzi mpaka siku Dr Slaa atakapotoa tamko rasmi la chadema!
 
hao nimesikia watapanda power tiller ya GY kwa ajili ya physiotherapy.....ili mradi mkifika mnaweza kushiriki kuapishwa kwa wah. wabunge wateule wapambanaji hasa Mh Regia....

Hii safari itachukua mwezi sasa.......
 
Sent from Bar mpya via my mobile

Complaints to follow!

Halafu wewe una kesi ya kujibu....

Ulimkimbia Mama Big pale Kalabashi... Kisingizio.eti Temeke kuna vululu vululu za kisiasa.

Naomba kuuliza swali: Hili tripu la kwenda kumsimika Chenge kuwa spika wa bunge la JMT, tunaruhusiwa kuambatana na familia? Yaani watoto na wajukuu zetu? Pale UDOM kuna nafasi ya kututosha?
 
Mie ntakua na honda 110 nikiwa swafi kabisa... ready to roll
 
Inamaana Panga la Roya limebaki mpini tu?
Na hujasikia makanyo ya Carmel kuhusu Bondeni hotel? kumbuka Boflo anakaa maeneo hayo hayo!

:tape::tape::tape::tape::tape::tape: Mama weeeeee!!!!!!!!!!!!
 
Halafu wewe una kesi ya kujibu....

Ulimkimbia Mama Big pale Kalabashi... Kisingizio.eti Temeke kuna vululu vululu za kisiasa.

Naomba kuuliza swali: Hili tripu la kwenda kumsimika Chenge kuwa spika wa bunge la JMT, tunaruhusiwa kuambatana na familia? Yaani watoto na wajukuu zetu? Pale UDOM kuna nafasi ya kututosha?

Mjukuu anasema anataka kuambatana na mimi kwenye hii safari
 
Halafu wewe una kesi ya kujibu....

Ulimkimbia Mama Big pale Kalabashi... Kisingizio.eti Temeke kuna vululu vululu za kisiasa.

Naomba kuuliza swali: Hili tripu la kwenda kumsimika Chenge kuwa spika wa bunge la JMT, tunaruhusiwa kuambatana na familia? Yaani watoto na wajukuu zetu? Pale UDOM kuna nafasi ya kututosha?

Kampeni wanapiga kwa helcopta, kwenda kuapishwa misururu kibao ya pikipiki na magari......hate them polit..ns
 
Inamaana Panga la Roya limebaki mpini tu?
Na hujasikia makanyo ya Carmel kuhusu Bondeni hotel? kumbuka Boflo anakaa maeneo hayo hayo!
1)-roya hana panga kwa sasa!....
2)-sisi hapa bondeni hotel tumepumzika tu!kuna nyororo kubwa sana hapa morogoro rodi....!tumelala tu mkuu,tupo the uppermost floor.namuona fidel anapita na tukutuku mapipa hapa!tumelala tu mkuu NOTHING PERSONAL

:rip:-roya
 
Inamaana Panga la Roya limebaki mpini tu?
Na hujasikia makanyo ya Carmel kuhusu Bondeni hotel? kumbuka Boflo anakaa maeneo hayo hayo!

Huyu ashageuzwa digidigi....ni kelele tu hana ishu.....tangia anony aje....
 
:tape::tape::tape::tape::tape::tape: Mama weeeeee!!!!!!!!!!!!
usiwaze sana mpwa!.....

inaonekana ni wewe tu sijawahi kukwambia kuwa roya ni ''joka-la-maonyesho''...
ana kisukari!
 
Back
Top Bottom