Marafiki,wapwa na mabinamu kuelekea dodoma!..........

mbona unakuwa na wasi wasi ndugu? Nature is always very kind and generous, it will sort things out for you... as long as multiple choice and ownership/pocession is not allowed!

hiyo muhimu sana kuifanyia consideration
 
Mbona unakuwa na wasi wasi ndugu? Nature is always very kind and generous, it will sort things out for you... As long as multiple choice and ownership/pocession is not allowed!

Hata wasiwasi pia ni nature tu
 
copy that!....
 
hahahaha nimecheka!

Cheaman umeshajua ratiba ikoje, lini hasa inabidi pawa tila zetu zianze kuingia dodoma? mi nipo bize sasaivi kushulikia viza toka ikulu yangu kuu!
 
next week hun wala usikonde

Cant wait

Baba Gift afta kushuhudia laiv without chenga kuapishwa kwa wabunge wetu wapendwa, hiyo pati ya kukata na shoka itafanyikia wapi???

Ni mambo ya kujiweka sawa nothing personal.:smile::smile:
 
Cant wait

Baba Gift afta kushuhudia laiv without chenga kuapishwa kwa wabunge wetu wapendwa, hiyo pati ya kukata na shoka itafanyikia wapi???

Ni mambo ya kujiweka sawa nothing personal.:smile::smile:

:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Duh... hii mada ina-fly aisee... yani kwenda maliwato imesharefuka hivi?

Haya hivi mme-conclusion vipi kuhusu logistics? au bado ni kwa PM pekee?
 
Wadau kama?

Unaanza kuleta usumbufu bana....uta:rip:...chunga sana...
nitakuwa dereva wa taxi....!
i mean nitapaa na charter kumuacha anonymous again nitarud nayo na kuchukua taxi.....!abiria wangu nitawapakia nikianzia kino

Dereva taxi yupo kabisa....asante kwa kujipendekeza...
taxiiiiii Taxiiiiii! how much will you charge from here to dodoma?

Nishamalizana nae mkuu...rest assured...
 
Duh... hii mada ina-fly aisee... yani kwenda maliwato imesharefuka hivi?

Haya hivi mme-conclusion vipi kuhusu logistics? au bado ni kwa PM pekee?

Mada inaelekea Dodoma Mkuu....sasa ndo imefika Dumila...
 
Nina Jannell hapa.....nikupatie?
Uh ndo kiumbe gani huyo???
cha msingi awe anashikika mkononi atii
sitanii am ready to go withyu guyz.
Ila mie situmii sakramenti. hope ushansoma ka ulevi kangu ni nini
 
Cant wait

Baba Gift afta kushuhudia laiv without chenga kuapishwa kwa wabunge wetu wapendwa, hiyo pati ya kukata na shoka itafanyikia wapi???

Ni mambo ya kujiweka sawa nothing personal.:smile::smile:
kama kawaidaaz....
club 84
 
kama kawaidaaz....
club 84

Orait...Orait naanza kucheki na Mtalemwa Manager wa hiyo club ili kuhakikisha kuwa Mheshimiwa Sugu atapanda kwa stage that day!
 
kama kawaidaaz....
club 84
mnaokula monde poleni zenu maana nahisi ule mtindo wa kulewa kabla ya kukolea utawakumba. nashukuru Mungu kuwa ukiondoa mchina dosage hakuna dem aliyechakachuliwa
 
Orait...Orait naanza kucheki na Mtalemwa Manager wa hiyo club ili kuhakikisha kuwa Mheshimiwa Sugu atapanda kwa stage that day!
pale jirani kuna gest pale inaitwa islands...!
mwambie mutalemwa aende pale atakutana na zainab afanye booking
 
pale jirani kuna gest pale inaitwa islands...!
mwambie mutalemwa aende pale atakutana na zainab afanye booking

Copied, but booking ya namna gani? Unatoka Dodoma unaenda Dodoma au? Date of arrival: Leo, Date of departure: Leo...au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…