Marafiki,wapwa na mabinamu kuelekea dodoma!..........

yeye tunamkodishia charter!
watu wa humu ndani mmepinda bila shaka.
Haya na WoS atakuwepo?? just ashawishiwe kuwepo kwenye safari maana story zake zitanisaidia kusinzia while driving (kupunguza uchovu wa safari)
 
sijawahi...!
ila nacikia kuna dabo rodi kuanzia dumila/magole?
we umewahi kufika kino?

Ipo dabo rodi ya vumbi bana...
Kuhusu kino, ni sehemu gani ya dodoma aisee...:doh::doh::doh:
 
Orait...Orait naanza kucheki na Mtalemwa Manager wa hiyo club ili kuhakikisha kuwa Mheshimiwa Sugu atapanda kwa stage that day!

Binamu du ze nidful, tupate burudani za mwisho mwisho, kwenye mpangilio wa nyimbo atakazopafomu ANTI VIRUS isikosekane.
 
watu wa humu ndani mmepinda bila shaka.
Haya na WoS atakuwepo?? just ashawishiwe kuwepo kwenye safari maana story zake zitanisaidia kusinzia while driving (kupunguza uchovu wa safari)

dah...Msanii bana.....hii ni open call.....ila sasa kwa ninavomfahamu WoS, kweli itabidi usisinzie kabisa

wapi WoS aconfirm na msanii wajameni?
 
Mwambie Mnyika Ubungo inamsubiri kwa hamu akaze buti ..salam kwakee hizo ni salam kwakee eeeee
 
Ipo dabo rodi ya vumbi bana...
Kuhusu kino, ni sehemu gani ya dodoma aisee...:doh::doh::doh:
mi ndo huko tu nishafika!....
hamna sehemu ingine naijua zaidi ya kino.....!and i like it that way
 
Beauty yuko wapi jamani au anatumia id nyingine na kupost via mobile?
 
watu wa humu ndani mmepinda bila shaka.
Haya na WoS atakuwepo?? just ashawishiwe kuwepo kwenye safari maana story zake zitanisaidia kusinzia while driving (kupunguza uchovu wa safari)
No driving, ni riding......matumizi ya tukutuku kwa ajili ya kuwaenzi waliovunjika miguu kwa Toyo aka bodaboda
 
Very much binamu

okei okei.....ingawa kuna watu wanatembea na RB wakiusikia tu unapigwa mahali wanakubeba but we will do the nidful....vp wewe ulisema utapanda pawa tila au ndo unakuja na bajaji ya Baba G?.....Nature is now taking its course
 
Cant wait

Baba Gift afta kushuhudia laiv without chenga kuapishwa kwa wabunge wetu wapendwa, hiyo pati ya kukata na shoka itafanyikia wapi???

Ni mambo ya kujiweka sawa nothing personal.:smile::smile:
Don't count your chickens before they're hatched.
.....hivi chickens hatch chickens au eggs hatch chicks?
Isengwile Lily!
 
okei okei.....ingawa kuna watu wanatembea na RB wakiusikia tu unapigwa mahali wanakubeba but we will do the nidful....vp wewe ulisema utapanda pawa tila au ndo unakuja na bajaji ya Baba G?.....Nature is now taking its course
and the course is not smelling good from the start.
 
Where is Rose80 when you need her the most?
 
Na hapa leo mwajadili nini?

Wapi Mama Big?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…