Marafiki zangu nawapenda ila mke wangu nampenda na kumsikiliza

Marafiki zangu nawapenda ila mke wangu nampenda na kumsikiliza

fungi06

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2020
Posts
738
Reaction score
1,017
Nimekua niko karibu na marafiki zangu mno kwanzia Form 6, Chuo mpaka kazini, nimefurahi mengi tumepitia vingi vizuri, vibaya vichache kwa kweli namshkuru Mungu.

Sasa basi mambo yameanza badilika tokea nimeoa.. marafiki wakilalamika nimekua naji exclude atumeet kama ilivyokua desturi mpaka wengine wakiona labda ameniloga mke wangu mpenzi😚 kumbe wala hata niko saafi akili zangu azija wekwa kwenye kichupa,,maana i feel pia nimebadilika hizi labda ndo sababu,,kwa wale mnao wafikiria vibaya rafiki zenu mlio toka nao mbali kua wanawachunia
Laah!hashaa

Kuna malengo kama familia tumeweka tanakomaa yatimie, si mnajua muda ndio kitu binadamu hatumiliki? Now ninawatato nyumbani wanahitaji malezi ya wazazi ili waje kua bora kuliko sisi, si unajua mzazi ni Mungu wa pili why nikutane na marafiki niache kukaa na watoto kuwafundisha soft skilks?

Mke wangu pia ana marafiki kaacha kaamua kuwahi nyumbani baada ya kazi means kanimiss rafiki yake mkuu, why nisi show love back?
Sabrina mke wangu nakupenda😙

Nyingine mlio nazo wazazi wenzangu ongezeeni marafiki wajue kua atuvimbi ila ni majukumu tu ya msigi tuliyo nayo wazazi
 
Nimekua niko karibu na marafiki zangu mno kwanzia form 6 chuo mpaka kazini, nimefurahi mengi tumepitia vingi vizuri, vibaya vichache kwa kweli namshkuru Mungu..

Sasa basi mambo yameanza badilika tokea nimeoa.. marafiki wakilalamika nimekua naji exclude atumeet kama ilivyokua desturi mpaka wengine wakiona labda ameniloga mke wangu mpenzi😚....kumbe wala hata niko saafi akili zangu azija wekwa kwenye kichupa,,maana i feel pia nimebadilika hizi labda ndo sababu,,kwa wale mnao wafikiria vibaya rafiki zenu mlio toka nao mbali kua wanawachunia
Laah!hashaa

.kuna malengo kama familia tumeweka tanakomaa yatimie...si mnajua mda ndo kitu binadamu hatumiliki?

.now nawatato nyumbani wanaitaji malezi ya wazazi ili waje kua bora kuliko sisi...si unajua mzazi ni Mungu wa pili why nikutane na marafiki niache kukaa na watoto kuwafundisha soft skilks?

.mke wangu pia anamarafiki kaacha kaamua kuwai nyumbani baada ya kazi means kanimiss rafiki yake mkuu..why nisi show love back?
Sabrina mke wangu nakupenda...😙

.nyingine mlio nazo wazazi wenzangu ongezeeni marafiki wajue kua atuvimbi ila ni majukumu tu ya msigi tuliyo nayo wazazi
Dah! Haya bhana. Kila la heri na huyo Sabrina wako.
 
Nimekua niko karibu na marafiki zangu mno kwanzia form 6 chuo mpaka kazini, nimefurahi mengi tumepitia vingi vizuri, vibaya vichache kwa kweli namshkuru Mungu..

Sasa basi mambo yameanza badilika tokea nimeoa.. marafiki wakilalamika nimekua naji exclude atumeet kama ilivyokua desturi mpaka wengine wakiona labda ameniloga mke wangu mpenzi[emoji9]....kumbe wala hata niko saafi akili zangu azija wekwa kwenye kichupa,,maana i feel pia nimebadilika hizi labda ndo sababu,,kwa wale mnao wafikiria vibaya rafiki zenu mlio toka nao mbali kua wanawachunia
Laah!hashaa

.kuna malengo kama familia tumeweka tanakomaa yatimie...si mnajua mda ndo kitu binadamu hatumiliki?

.now nawatato nyumbani wanaitaji malezi ya wazazi ili waje kua bora kuliko sisi...si unajua mzazi ni Mungu wa pili why nikutane na marafiki niache kukaa na watoto kuwafundisha soft skilks?

.mke wangu pia anamarafiki kaacha kaamua kuwai nyumbani baada ya kazi means kanimiss rafiki yake mkuu..why nisi show love back?
Sabrina mke wangu nakupenda...[emoji11]

.nyingine mlio nazo wazazi wenzangu ongezeeni marafiki wajue kua atuvimbi ila ni majukumu tu ya msigi tuliyo nayo wazazi
Upo utofauti kwa mtu alie oa na asie oa. Ukisha oa mambo ya kila saa kuongozana na marafiki yanapubgua ba lazima yapungue. Coz una mipango na familia kwanza. Ila usiwatenge machizi sometime mishe za kitaa lazima ujichanganye nao..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulioa ukiwa bikra wewesio kosa lako..


Mtu asiyejua umuhimu wa marafiki ni mjinga mara 3 na akili yake imefungwa na mawazo yake ya sasa.Subiri upoteze kaZi au biashara au uteteleke kwenye maisha ndo utajua kwanini unahitaji marafiki otherwise endelea kukaa gerezani
 
Nimekua niko karibu na marafiki zangu mno kwanzia Form 6, Chuo mpaka kazini, nimefurahi mengi tumepitia vingi vizuri, vibaya vichache kwa kweli namshkuru Mungu.

Sasa basi mambo yameanza badilika tokea nimeoa.. marafiki wakilalamika nimekua naji exclude atumeet kama ilivyokua desturi mpaka wengine wakiona labda ameniloga mke wangu mpenzi😚 kumbe wala hata niko saafi akili zangu azija wekwa kwenye kichupa,,maana i feel pia nimebadilika hizi labda ndo sababu,,kwa wale mnao wafikiria vibaya rafiki zenu mlio toka nao mbali kua wanawachunia
Laah!hashaa

Kuna malengo kama familia tumeweka tanakomaa yatimie, si mnajua muda ndio kitu binadamu hatumiliki? Now ninawatato nyumbani wanahitaji malezi ya wazazi ili waje kua bora kuliko sisi, si unajua mzazi ni Mungu wa pili why nikutane na marafiki niache kukaa na watoto kuwafundisha soft skilks?

Mke wangu pia ana marafiki kaacha kaamua kuwahi nyumbani baada ya kazi means kanimiss rafiki yake mkuu, why nisi show love back?
Sabrina mke wangu nakupenda😙

Nyingine mlio nazo wazazi wenzangu ongezeeni marafiki wajue kua atuvimbi ila ni majukumu tu ya msigi tuliyo nayo wazazi
Umeongea umama kweli siku ukizinguana na mkeo utawatafuta washkaji......
unachotakiwa ni kubalance tu sio kuwatosa jamaa......
usiwe limbukeni sana
 
Ulioa ukiwa bikra wewesio kosa lako..


Mtu asiyejua umuhimu wa marafiki ni mjinga mara 3 na akili yake imefungwa na mawazo yake ya sasa.Subiri upoteze kaZi au biashara au uteteleke kwenye maisha ndo utajua kwanini unahitaji marafiki otherwise endelea kukaa gerezani

Dah!.nikiona mtu anaamini marafiki kiasi hiki huwa namuonea imani tu.
Washkaji nyoka tu sometimes,una bahatisha mmoja katika 100.
Ukitetereka ndo watu wa kwanza kukuimba vibaya,bora nikae na mke wangu.
 
Back
Top Bottom