Marafiki zangu nawapenda ila mke wangu nampenda na kumsikiliza

Marafiki zangu nawapenda ila mke wangu nampenda na kumsikiliza

images (1) (25).jpeg
 
Ohoooo! LIMBWATA limeshakuteka. Hongera sana Mkuu msalimie shem Sabrina.
Nimekua niko karibu na marafiki zangu mno kwanzia Form 6, Chuo mpaka kazini, nimefurahi mengi tumepitia vingi vizuri, vibaya vichache kwa kweli namshkuru Mungu.

Sasa basi mambo yameanza badilika tokea nimeoa.. marafiki wakilalamika nimekua naji exclude atumeet kama ilivyokua desturi mpaka wengine wakiona labda ameniloga mke wangu mpenzi😚 kumbe wala hata niko saafi akili zangu azija wekwa kwenye kichupa,,maana i feel pia nimebadilika hizi labda ndo sababu,,kwa wale mnao wafikiria vibaya rafiki zenu mlio toka nao mbali kua wanawachunia
Laah!hashaa

Kuna malengo kama familia tumeweka tanakomaa yatimie, si mnajua muda ndio kitu binadamu hatumiliki? Now ninawatato nyumbani wanahitaji malezi ya wazazi ili waje kua bora kuliko sisi, si unajua mzazi ni Mungu wa pili why nikutane na marafiki niache kukaa na watoto kuwafundisha soft skilks?

Mke wangu pia ana marafiki kaacha kaamua kuwahi nyumbani baada ya kazi means kanimiss rafiki yake mkuu, why nisi show love back?
Sabrina mke wangu nakupenda😙

Nyingine mlio nazo wazazi wenzangu ongezeeni marafiki wajue kua atuvimbi ila ni majukumu tu ya msigi tuliyo nayo wazazi
 
Weka msingi wa familia kwanza,marafiki wapo tu na wao wakioa wataelewa tu..Maana marafiki nao muhimu sana kweny harakati zetu
 
Nimekua niko karibu na marafiki zangu mno kwanzia Form 6, Chuo mpaka kazini, nimefurahi mengi tumepitia vingi vizuri, vibaya vichache kwa kweli namshkuru Mungu.

Sasa basi mambo yameanza badilika tokea nimeoa.. marafiki wakilalamika nimekua naji exclude atumeet kama ilivyokua desturi mpaka wengine wakiona labda ameniloga mke wangu mpenzi😚 kumbe wala hata niko saafi akili zangu azija wekwa kwenye kichupa,,maana i feel pia nimebadilika hizi labda ndo sababu,,kwa wale mnao wafikiria vibaya rafiki zenu mlio toka nao mbali kua wanawachunia
Laah!hashaa

Kuna malengo kama familia tumeweka tanakomaa yatimie, si mnajua muda ndio kitu binadamu hatumiliki? Now ninawatato nyumbani wanahitaji malezi ya wazazi ili waje kua bora kuliko sisi, si unajua mzazi ni Mungu wa pili why nikutane na marafiki niache kukaa na watoto kuwafundisha soft skilks?

Mke wangu pia ana marafiki kaacha kaamua kuwahi nyumbani baada ya kazi means kanimiss rafiki yake mkuu, why nisi show love back?
Sabrina mke wangu nakupenda😙

Nyingine mlio nazo wazazi wenzangu ongezeeni marafiki wajue kua atuvimbi ila ni majukumu tu ya msigi tuliyo nayo wazazi
Mwanamke katimiza wajibu wake kukutenga na watu wako wa karibu sio kwa ubaya lakini ni kwa sababu anakupenda and she wants you all to herself. Tatizo ni siku mambo yakienda mrama jua utakua peke yako
 
Atakapopata mtoto wa kumkeep busy utaelewa 😂😂😂 sahizi mpo kwenye honeymoon phase kila saa mke anatamani uwepo around!
 

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea umama kweli siku ukizinguana na mkeo utawatafuta washkaji......
unachotakiwa ni kubalance tu sio kuwatosa jamaa......
usiwe limbukeni sana
Pamoja sana soma andiko mkuu inaonekana kwenu bado maleria mnaipima kwa kuangalia homa
 
Nimekua niko karibu na marafiki zangu mno kwanzia Form 6, Chuo mpaka kazini, nimefurahi mengi tumepitia vingi vizuri, vibaya vichache kwa kweli namshkuru Mungu.

Sasa basi mambo yameanza badilika tokea nimeoa.. marafiki wakilalamika nimekua naji exclude atumeet kama ilivyokua desturi mpaka wengine wakiona labda ameniloga mke wangu mpenzi[emoji9] kumbe wala hata niko saafi akili zangu azija wekwa kwenye kichupa,,maana i feel pia nimebadilika hizi labda ndo sababu,,kwa wale mnao wafikiria vibaya rafiki zenu mlio toka nao mbali kua wanawachunia
Laah!hashaa

Kuna malengo kama familia tumeweka tanakomaa yatimie, si mnajua muda ndio kitu binadamu hatumiliki? Now ninawatato nyumbani wanahitaji malezi ya wazazi ili waje kua bora kuliko sisi, si unajua mzazi ni Mungu wa pili why nikutane na marafiki niache kukaa na watoto kuwafundisha soft skilks?

Mke wangu pia ana marafiki kaacha kaamua kuwahi nyumbani baada ya kazi means kanimiss rafiki yake mkuu, why nisi show love back?
Sabrina mke wangu nakupenda[emoji11]

Nyingine mlio nazo wazazi wenzangu ongezeeni marafiki wajue kua atuvimbi ila ni majukumu tu ya msigi tuliyo nayo wazazi
Ndoa mpya na hapo unajiona utadumu hivohivo hutokuja kubadilika siyo? Uliza kwanza acha pupa
 
Sabrina mjibu mwenzio, nasi tutambue uwepo wako
 
Hongera Mtoa mada,
Mke au Mume ni zaidi ya rafiki, ndugu na jamaa.
Ni mtu wako wa karibu ambae unapaswa mthamini sana. Wengine wataendelea kuwa marafiki bila kuadhiri urafiki wa Mke/Mume.

Rafiki inaweza kuonana nae mara moja hata kwa wiki au mwezi ila ulienae ndani ni kila siku uko nae katika raha na shida, milima na mabonde, wengine wanaweza kuwa na wewe wakati wa raha tu.

Kila mtu anapaswa kumfanya mwenza wake rafiki yake mkuu namba moja baada ya Mungu.

Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom