Marafiki zangu nawapenda ila mke wangu nampenda na kumsikiliza

Ndoa mpya na hapo unajiona utadumu hivohivo hutokuja kubadilika siyo? Uliza kwanza acha pupa
Tuliza kipochi icho unajua ndoa wewe au ndo midada ya mjini kazi kusindikiz wenzenu kufanya shopping wivu utwauwa u mwaka na picha nitaweka watu tuna 15 years unapayuka kama umekunywa maji ya chooni
 
Hakika ila wengi awatambui ilo ndo maana ata awa wanao comment vibaya nahakika awajasoma mada ila wameamua tu..
Nashkuru mkuu you are smart
 
uhitaji wa marafiki utakuja kipindi umegombana na mkeo. na ukikutana na hao marafiki utasimulia mikasa yote ya home na rafiki zako watakutetea na kauli za "wanawake wa sku hizi wanazingua" na kukushauri utafute mchepuko upunguze maumivu na kukwambia mwanaume rijali hawezi kuwa na mwanamke mmoja..

mwisho wa siku mkeo akija kujua unachepuka ndoa inakua ishaingia doa na hii furaha ulotusimulia hapa hutaiona tena yani utaisikia kwenye bomba. na hapo ndo utaungana na lile kundi la kulalamika ndoa ngumu blah blah blah kumbe wewe ndo chanzo cha mvurugano wote..

sasa hapo sijasema ndoa yako itafata mtiriko huu ila mara nyingi ndo inavyokua.

pia jifunze kumaliza tofauti zenu nyie wenyewe kabla ya kwenda kujichoresha kwa ndugu na marafiki.
 
Rafiki zangu nawapenda ila uyu mwanamke nampenda sana ielewe mitaa ndugu mbona nimeweka wazi au sijaeleweka nibold?
 
Dah!.nikiona mtu anaamini marafiki kiasi hiki huwa namuonea imani tu.
Washkaji nyoka tu sometimes,una bahatisha mmoja katika 100.
Ukitetereka ndo watu wa kwanza kukuimba vibaya,bora nikae na mke wangu.

Marafiki hawana umuhimu vile kama familia yako
Wape muda familia yako marafiki wape dakika moja tu
 
Mkuu kama marafiki zako unao kwa ajili ya kupata channel za maisha basi umeingia chaka huo ni urafiki wa kupoteza muda na unasubiria tu siku ya kufa. Urafiki hauhitaji hayo yote zaidi ya just that presence mnakutana si kwa sababu ya changamoto bali inatokea tu hata bila sababu.
 
Tuliza kipochi icho unajua ndoa weqe au ndo midada ya mjini kazi kusindikiz wenzenu kufanya shopping wivu utwauwa u mwaka na picha nitaweka watu tuna 15 years unapayuka kama umekunywa maji ya chooni
[emoji3][emoji3] umejua kunichekesha! Punguza hasira bas nimekuelewa
 
Hata mimi mwanzo Nilikuwa kama wewe lakini nikajifunza.
Mama p mke wangu yeye, Nilikuwa namsikiliza kuliko hata samadi inaponibana,
Lakini niliacha kumsikiliza pale aliposhinda udiwani wa kata.
Mara aseme niamke usiku nikavune miwa, Mara niende kwa mama mudi nikamnunulie vitumbua vikiwa bado vya moto..!
Kubwa kuliko yote ni pale aliponiambia nikamtwange afande mwita kerbu na mitama ya udevu, kisa afande alimshika kalio mama p..

Nililazwa miezi miwili ..
Bado wewe kenge wewe
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tofauti yenu iko wazi, msome tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…