Usipanic buana nakutania
Member
- Mar 12, 2021
- 95
- 109
- Thread starter
- #21
Mi simo kwakweli😂😂😂CORONA Baba lao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi simo kwakweli😂😂😂CORONA Baba lao
Mbna umechangany nyoka na mbuzi sasa?Wana JF kwanza niwasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano,Lengo la uzi huu ni kujuzana ni rais au marais gani ambao ulitokea kuwapenda
Mimi naanza na my favourite presidents;
-JM Kikwete
-Vladimir Putin
-Barack Obama
Angalizo::Viongozi hao sijawapenda sababu ya waliyofanya ila tu sababu ya personalities zao...
Karibuni wadau mtiririke
Ulimaanisha rais wa botswana 2008 to 2018?Favorite.
(1)Robart Gabriel Mugabe.
(3)Ian Gama
(4)Ernest Bai koroma
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani nimejikuta nimewamaindi tu bila sababu mkuuMbna umechangany nyoka na mbuzi sasa?
Ndio namaanisha huyo.Ulimaanisha rais wa botswana 2008 to 2018?
Ni Ian khama ,sio gama
Unaonekana ni mlamba miguu sanaWana JF kwanza niwasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano,Lengo la uzi huu ni kujuzana ni rais au marais gani ambao ulitokea kuwapenda
Mimi naanza na my favourite presidents;
-JM Kikwete
-Vladimir Putin
-Barack Obama
Angalizo::Viongozi hao sijawapenda sababu ya waliyofanya ila tu sababu ya personalities zao...
Karibuni wadau mtiririke
Kwqkweli mkuuUnaonekana ni mlamba miguu sana
Mwizi magufuli mbona hayupo?Wana JF kwanza niwasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano,Lengo la uzi huu ni kujuzana ni rais au marais gani ambao ulitokea kuwapenda
Mimi naanza na my favourite presidents;
-JM Kikwete
-Vladimir Putin
-Barack Obama
Angalizo::Viongozi hao sijawapenda sababu ya waliyofanya ila tu sababu ya personalities zao...
Karibuni wadau mtiririke
Putin mtesaji, mwonevu, muuaji , mnyanyasaji kuliko jiwe.Wana JF kwanza niwasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano,Lengo la uzi huu ni kujuzana ni rais au marais gani ambao ulitokea kuwapenda
Mimi naanza na my favourite presidents;
-JM Kikwete
-Vladimir Putin
-Barack Obama
Angalizo::Viongozi hao sijawapenda sababu ya waliyofanya ila tu sababu ya personalities zao...
Karibuni wadau mtiririke
1.Baraka ObamaWana JF kwanza niwasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano,Lengo la uzi huu ni kujuzana ni rais au marais gani ambao ulitokea kuwapenda
Mimi naanza na my favourite presidents;
-JM Kikwete
-Vladimir Putin
-Barack Obama
Angalizo::Viongozi hao sijawapenda sababu ya waliyofanya ila tu sababu ya personalities zao...
Karibuni wadau mtiririke
Mahmod ahmadinejadFidel castor,robert mugabe,hugo chaves na rais wa iran miaka ya 2007 nimemsahau jina
Hahahh kama ulimpenda muweke tuu mkuuMwizi magufuli mbona hayupo?