Marais wa Afrika angalieni njaa zenu zisiwatoe akili

Marais wa Afrika angalieni njaa zenu zisiwatoe akili

Wewe umejiusisha kwy kilimo kwa asilimia ngapi? Au umekaaa kwy kijiwe unasema aridhi kubwa ya kulima. Bila akili za binadamu itajilima yenyewe
Alafu kingine watu hawaongelei kwaubaya hili jambo hivi hata niwe mjini kukiwa namiundombinu rafiki yakilimo hakuna atakae kiogopa kilimo maukumbuke hakunaga mvivu bali kila Mtu huwa anataka afanye kazi anayoipenda
 
Wewe umejiusisha kwy kilimo kwa asilimia ngapi? Au umekaaa kwy kijiwe unasema aridhi kubwa ya kulima. Bila akili za binadamu itajilima yenyewe
Mkuu huo ndo ukwel akili zetu zimelala sn , kufikia mwakan nitakuonesha kitu humu kipo on process , sisi akili zimelala mpk ss bdo tunaendeshwa na nature
 
Back
Top Bottom