Alafu kingine watu hawaongelei kwaubaya hili jambo hivi hata niwe mjini kukiwa namiundombinu rafiki yakilimo hakuna atakae kiogopa kilimo maukumbuke hakunaga mvivu bali kila Mtu huwa anataka afanye kazi anayoipenda
Mkuu huo ndo ukwel akili zetu zimelala sn , kufikia mwakan nitakuonesha kitu humu kipo on process , sisi akili zimelala mpk ss bdo tunaendeshwa na nature