Marais wanawake wa kiislam duniani

Marais wanawake wa kiislam duniani

Ukiona hijab (wakiristo huita ushungi) usiumie utaingia prseha

1. Halimah.
Halimah Yacob (born 23 August 1954) is a Singaporean former politician and lawyer who served as the eighth president of Singapore from 2017 to 2023.
View attachment 2796510
View attachment 2796511
View attachment 2796512
Rais Samia Suluhu Hassan
Upto 2035(inshallah)


SIFA KUBWA YA MUISLAM DHIDI YA ASIEKUWA MUISLAM
Enyi mlioamini! Kuweni wenye kusimamisha uadilifu mtoapo ushahidi kwa ajili ya Allaah japokuwa ni dhidi ya nafsi zenu au wazazi wawili, au jamaa wa karibu. Akiwa tajiri au maskini Allaah Anawastahiki zaidi. Basi msifuate hawaa [matamanio] mkaacha kufanya uadilifu. Na mkipotoa [ushahidi wenu] au mkijitenga [kuepuka au kukataa kutoa ushahidi], basi hakika Allaah kwa myatendayo ni Khabiyraa (Mjuzi wa vilivyodhahiri na vilivyofichikana)." (04:135)
Kuna mmoja hapo umemuweka alipata uraisi kwa sababu katiba ya nchi yake imtaka makamu wa rais ashike nafasi pale raisi aliyeko madarakani anapoaga dunia.

Kiukweli taifa liliingia kwenye janga kwa sababu tu ya katiba. Aliteuliwa tu kukamilisha takwa la kikatiba kwamba raisi awe na makamu. Tuliporejea katiba kuhusu kifo cha Rais, wengi tulilia si kwa sababu tu ya kuondokewa na Rais bali kwa sababu tulijua anayehitajika na katiba ashike nafasi kwa kipindi kilichobaki ni janga kuu la taifa.
 
September 16/2022 aliuwawa Mama yetu Mahsa Amina huko Iran na kusababisha maandamano makubwa, maafa ya Watu 517, Askari 70, Majeruhi, 898 waliokamatwa 19, 262.

Bado tu unakaza fuvu kuwa mtumwa wa dini ambayo hata wenyewe hawaitaki?

Soma hapa [emoji116]
Screenshot_2023-10-29-13-08-03-16_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2023-10-29-12-47-38-44_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2023-10-29-12-46-40-77_680d03679600f7af0b4c700c6b270fe7.jpg
 
Kuna mmoja hapo umemuweka alipata uraisi kwa sababu katiba ya nchi yake imtaka makamu wa rais ashike nafasi pale raisi aliyeko madarakani anapoaga dunia.

Kiukweli taifa liliingia kwenye janga kwa sababu tu ya katiba. Aliteuliwa tu kukamilisha takwa la kikatiba kwamba raisi awe na makamu. Tuliporejea katiba kuhusu kifo cha Rais, wengi tulilia si kwa sababu tu ya kuondokewa na Rais bali kwa sababu tulijua anayehitajika na katiba ashike nafasi kwa kipindi kilichobaki ni janga kuu la taifa.
Kwa hivyo unataka urudi utawala kama ule? Hahaa si utaficha chooni wewe? Wewe kweli kunguni
 
Back
Top Bottom