Halafu huyo utasikia anasifiwa kwa kupiga vita rushwa.Jiwe ni gwiji la rushwa.
Hata wabunge walipitisha kikokotoo dhulumishi kwa kuwa wao hakiwahusu.
Ba Jiwe aliwaruhusu Polisi kuchukua rushwa barabarani kwa kuwa anawatumia kwa mambo yake. Alisema ni pesa ya kubrush viatu
Daa hili jibu aisee "chungu lakini dawa".Walishatoboa kitambo kabla yako na huenda mmojawapo ni boss wako!
Na Jkt walijenga nini sasa kile?Mimi niko Butiama, hakuna nyumba ya Mkapa huku acheni ubishi.
Kweli aliyeshiba hamjari mwenye njaa,View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
Sheria sio msaafu,ukiacha walizo tuibia huu ni usenge mtupuView attachment 1604009
View attachment 1604014
Rais Magufuli leo amemkabidhi Rais mstaafu wa awamu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi nyumba aliyojengewa na serikali masaki jijini Dsm.
Mzee Mwinyi amekuwa akiishi katika nyumba yake mwenyewe pale Mikocheni/ Msasani karibu na nyumbani kwa mwalimu Nyerere.
=====
Sheria inasema:
9.-(1) A leader who held the office of the President of the United Republic, shall upon ceasing to hold office, be granted:
(d) a furnished house containing not less than four bed rooms of which two rooms shall be self contained and shall contain-
(i) a furnished office;
(ii) a servant quarter;
THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT
BENEFITS ACT, 1999
View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
Inafikirisha sana. Mwinyi kastaafu 1995. Well sheria ni ya 1999, lakini mpaka leo ndio anapata mafao? Na Hayati Mzee Mkapa nae vipi?View attachment 1604009
View attachment 1604014
Rais Magufuli leo amemkabidhi Rais mstaafu wa awamu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi nyumba aliyojengewa na serikali masaki jijini Dsm.
Mzee Mwinyi amekuwa akiishi katika nyumba yake mwenyewe pale Mikocheni/ Msasani karibu na nyumbani kwa mwalimu Nyerere.
=====
Sheria inasema:
9.-(1) A leader who held the office of the President of the United Republic, shall upon ceasing to hold office, be granted:
(d) a furnished house containing not less than four bed rooms of which two rooms shall be self contained and shall contain-
(i) a furnished office;
(ii) a servant quarter;
THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT
BENEFITS ACT, 1999
Wote walipewa nyumba tayari.Inafikirisha sana. Mwinyi kastaafu 1995. Well sheria ni ya 1999, lakini mpaka leo ndio anapata mafao? Na Hayati Mzee Mkapa nae vipi?
Ile ni zawadi tu ambayo wao kama Jeshi waliona wampe ingawa mwenyewe hakupenda.Na Jkt walijenga nini sasa kile?
EXACTLYMtu fulani anatafuta justification ya yeye kujijengea hekalu.
Kwa mantiki hii naona Mzee wa CHATTLE atajijengea mwenyewe.'Hivi yeye ndio ataamua ajijengee vipi au raisi wa awamu ya 6 ndio atamjengea yeye?'
Swali konki mkuu lkn hapohapo najiuliza kwanini Mkapa(awamu ya 3) hakumjengea Mwinyi(awamu ya 2),Kikwete(awamu ya 4) hakumjengea Mkapa(awamu ya 3)?
Ila mkuu sasa hivi kila kitu kinawezekana tu maana kama Mpk kiwanja cha ndege cha kimataifa kinaweza kujengwa kijijini kwa mtu,mbuga ikapelekwa wilayani kwa mtu mmoja usishangae hata akiamua kujijengea mwenyewe li hekalu kabla hajasepa maana taratibu zote zimevurugwa.
Ndiyo hivyo. Wajukuu watafaidi.Hakika mwenye nacho huongezewa.....hawa wazee wetu wastaafu pamoja na benefits zote...bado wanajaziana nyumba tu.
Wananchi wanazoa maji tu majumbani...
Poleni wapiga kura.
Hivi masaki kulikuwa na kiwanja au kuna mtu alivuliwa ndio ikapatikana nafasi ya kumjengea Mh. Mwinyi?Wote walipewa nyumba tayari.
Mwinyi alipewa nyumba Oysterbay Laibon St. Mtaa wa Ubalozi wa Marekani wa zamani.
Kikwete alipewa nyumba Msoga, nyingine Bagamoyo na nyingine Dar Migombani St. Ya Migombani St. imefanyiwa ukarabati mkubwa sana muda si mrefu, halafu huwa hakai mtu pale sasa.
Marehemu Mkapa ana nyumba Mfaume Rd Upanga. Alipewa nyumba Sea View karibu na Aga Khan Hospital Upanga. Alipewa nyumba Masaki.
Sasa hizi nyumba walizopewa awali wanazirudisha na kupewa mpya?
Au wanaongezewa?
Life time benefits kwa kizazi choteNdiyo hivyo. Wajukuu watafaidi.
Alivyopelekwa St Thomas Hospital Uingereza aliondokea Butiama au Mikocheni?Ile ni zawadi tu ambayo wao kama Jeshi waliona wampe ingawa mwenyewe hakupenda.
Na alikaa kwa siku 14 tu kabla ya
Ile hekalu ya Tanga kule vipi?Inafikirisha sana. Mwinyi kastaafu 1995. Well sheria ni ya 1999, lakini mpaka leo ndio anapata mafao? Na Hayati Mzee Mkapa nae vipi?