Marais Wastaafu wa Tanzania, wajengewa nyumba na Serikali

Marais Wastaafu wa Tanzania, wajengewa nyumba na Serikali

Hii iliwekwa enzi za Mkapa. Ilitakiwa waseme endapo hana nyumba.
 
Safi sana - wajenge na za makamu wao wote, mawaziri wakuu, majaji, wakuu wa majeshi

Hiyo ni ishara ya upendo na kutambua mchango wao ktk jumuiya za watanzania
 
We unafikri waliofanikiwa wote wametokea familia zenye uwezo? Ni swala la malezi tu,hao watoto wako ukiwaambukiza hii mindset yako,amini kwamba hawawezi kutoboa.
Walishatoboa kitambo kabla yako na huenda mmojawapo ni boss wako!
 
Sheria inaheshimiwa Kwa wakubwa Tu?? Annual Salary Increment ipo kisheria. Ila Sheria haijatekelezwa Kwa miaka mitano. Je huo sio ubinafsi?? Kama wamejengewa Kwa kuwa Tu wanaheshimu na kutimiza takwa la kisheria Kwanini hawatimizi Sheria Kwa kulipa stahiki za watumishi wa Umma wanaolipwa mishahara kama manamba??
Weka tuu hicho kifungu cha sheria tujadili kama nilivyofanya mimi. Hakuna haja ya blaablaa.
 
Walishatoboa kitambo kabla yako na huenda mmojawapo ni boss wako!
Ninaoweza kuwaita boss hapa tz ni wachache Sana,na ndio maana siwezi kuungana na nyie kwenye kelele za chura kumzuia ng'ombe kunywa maji.Kwahiyo sidhani na haitawezekana mimi kuwa na maboss vidampa Kama hao watoto wako.Chamsingi pambaneni na maisha.
 
mimi naona watu wameongea kwa uchungu sana.kisa hatuna hata kibanda cha mbavu za mbwa.au wengine tupo kwenye msingi, wengine lenta wengine tumepaua ila finishing inakua mtihan.
niseme tu kwanza hio ni sheria ya wastaafu VIP umeshasikia neno Very Important Person. hio sheria haiwezi kuchelewa kisa sisi watumishi mama yangu alikua mwalimu amestaafu july 2020 unataka agost tu awe amelamba M100 yake.lazima ichkue muda.
hata Marekani Kina Bush wana ma ranch na maelfu ya hekari za ardhi ambazo nchi hio hio kuna watu kutembea tu anaogopa maana akipatwa na tatizo hana hata social security number na ukumbuke hio ni nchi ya dunia ya kwanza.
niseme tu acheni kila aliyepewa wasaa na mungu usilalie rizki na hadhi ya mwenzio ukataka na wewe.
huu ukubwa,ufalme mwenyezimungu humpa amtakaye na humdhalilisha amtakaye.kwake yeye ndio kuna ufalme.
acheni wastaafu wapate mafao yao kwa mujibu wa sheria ya wastaafu VIP.
ACHENU ROHO ZA HUSDA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtetezi wa wanyonge hapo atajipigia jumba kama hekalu la malkia Elizabeth.
Hivi yeye ndio ataamua ajijengee vipi au raisi wa awamu ya 6 ndio atamjengea yeye? Sheria inasemaje? Maana hapa nimeona kwamba ametaka mpaka jan 2021 iwe ishakamilika,ina maana Kikwete hana say juu ya ujenzi wa nyumba yake? Kuwajengea majumba ni kuleta kufuru tu,nyerere alipaswa kujengewa coz alikuwa sio fisadi kama wao!! Hawa waliokuja baada ya JKNyerere wana majumba kila sehemu.
 
Hivi yeye ndio ataamua ajijengee vipi au raisi wa awamu ya 6 ndio atamjengea yeye? Sheria inasemaje? Maana hapa nimeona kwamba ametaka mpaka jan 2021 iwe ishakamilika,ina maana Kikwete hana say juu ya ujenzi wa nyumba yake? Kuwajengea majumba ni kuleta kufuru tu,nyerere alipaswa kujengewa coz alikuwa sio fisadi kama wao!! Hawa waliokuja baada ya JKNyerere wana majumba kila sehemu.

'Hivi yeye ndio ataamua ajijengee vipi au raisi wa awamu ya 6 ndio atamjengea yeye?'

Swali konki mkuu lkn hapohapo najiuliza kwanini Mkapa(awamu ya 3) hakumjengea Mwinyi(awamu ya 2),Kikwete(awamu ya 4) hakumjengea Mkapa(awamu ya 3)?

Ila mkuu sasa hivi kila kitu kinawezekana tu maana kama Mpk kiwanja cha ndege cha kimataifa kinaweza kujengwa kijijini kwa mtu,mbuga ikapelekwa wilayani kwa mtu mmoja usishangae hata akiamua kujijengea mwenyewe li hekalu kabla hajasepa maana taratibu zote zimevurugwa.
 
Kwa mwendo huu, Jiwe atapiga anavyotaka, wastaafu hawawezi kumkemea.
Jiwe ni gwiji la rushwa.

Hata wabunge walipitisha kikokotoo dhulumishi kwa kuwa wao hakiwahusu.

Ba Jiwe aliwaruhusu Polisi kuchukua rushwa barabarani kwa kuwa anawatumia kwa mambo yake. Alisema ni pesa ya kubrush viatu
 
Ipo John Baptist kaipost hapo kwenye hii thread
Mbona inaongelewa kama Magufuli yeye katoa msaada kutokana na his own personal wisdom?

Its crazy!

Na pia naomba unikopie hiyo sheria hapa nijiridhishe!
 
Jiwe ni gwiji la rushwa.

Hata wabunge walipitisha kikokotoo dhulumishi kwa kuwa wao hakiwahusu.

Ba Jiwe aliwaruhusu Polisi kuchukua rushwa barabarani kwa kuwa anawatumia kwa mambo yake. Alisema ni pesa ya kubrush viatu
Halafu huyo utasikia anasifiwa kwa kupiga vita rushwa.
 
Back
Top Bottom