Hii bajeti ya kujengea watu binafsi nyumba imetoka wapi?
Maana ni kodi za wananchi zimekatwa akajengewa mtu nyumba binafsi kama zawadi
Hawa watu walishastaafu wakapewa stahiki zao in full,then kuna mtu binafsi anachukua hela zetu anawapa nyumba hawa watu kama binafsi..
Justification ni ipi?
Hata kama,je wabunge wetu walipitisha kwa niaba yetu?Hapana
Serikali ni tatizo,yaani mtu anachukua hela zetu kwa his own will anagawia watu for free bila ruksa ya wenye mali
Justification ya hawa wastaafu ikitoka hapo,itakuja kwa mawaziri wakuu wastaafu,halafu then majaji wastaafu,mawaziri wastaafu,maspika wastaafu,etc....our money is gone!