n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Lissu hawezi kuwa Rais wa Watanzania. Chadema kajengeni ofisi kwanza. Ni aibu kubwa kwa chama kikuu cha upinzani, kinacho tafuta dola kukosa ofisi ili hali mnapata ruzuku zaidi ya 300mil kila mwezi.Lissu atakuwa rais October hiihii hivyo atazuia ujenzi wa Hilo hekalu usiwe na wasiwasi.