Marais Wastaafu wa Tanzania, wajengewa nyumba na Serikali

Marais Wastaafu wa Tanzania, wajengewa nyumba na Serikali

hivi huku mazense ninako ishi lini nitaondoka?
jibu ni TRA wakinipunguzia mzigo wa kodi labda na mimi nitajenga nyumba kule Kiluvya
 
Ama wewe ni tunda la ufisadi au mnufaika wa ufisadi ndio maana unaandika hivi ukidhani unamtetea huyo anayejikomba kwa wastaafu kumbe unawazidishia wapigakura hasira ili wakapige kura za hasira za kuukataa ccm!
Wao walilishwa, kuvalishwa, kutibiwa na kuwasomeshea watoto wao Bure kabisa! Na mishahara yao na viinua mgongo vyao na zawadi kubwa kubwa hawakuzigusa kabisa! Watafananaje na wafanyakazi wa kada Kama za ualimu wanaolipwa kiduchu? Halafu unawafokea wapigakura badala ya kuwabembeleza! Utayapata majibu yao oktoba 28!
Sawa mkuu, kama ushauri wangu kwako kwamba utafute hela ili ujenge hiyo nyumba unayoitaka badala ya kushinda Jf, umekuudhi na kujifanya unione kama mnufaika wa ufisadi,basi subiri huyo Rais atakaekuja kukujengea nyumba wewe kama mtumishi wa umma.

NB: Yani unategemea kuna Rais atakaekuja kukataa neema wanayoipata kutokana na nafasi hiyo? Nhiiiiiiiiiiiiii😃.
USIKU MWEMA
 
Sawa mkuu, kama ushauri wangu kwako kwamba utafute hela ili ujenge hiyo nyumba unayoitaka badala ya kushinda Jf, umekuudhi na kujifanya unione kama mnufaika wa ufisadi,basi subiri huyo Rais atakaekuja kukujengea nyumba wewe kama mtumishi wa umma.

NB: Yani unategemea kuna Rais atakaekuja kukataa neema wanayoipata kutokana na nafasi hiyo? Nhiiiiiiiiiiiiii😃.
USIKU MWEMA
Naamini wewe ni kijana Tena mhangaikaji Sana unayepambana usimame kiuchumi! Kama ndivyo, unawezaje kumshangilia ujinga huu wa kuwaongezea hao wastaafu zawadi za makasri huku ukiukandamiza upande mwingine wa wastaafu ambao nawe umenufaika na huduma zao? Huoni kuwa huu ni ubaguzi wa makusudi? Na kwanini wajengewe ilihali walijijengea ikulu ndogo vijijini mwao? Usitetee matumizi mabaya ya Kodi zako vinginevyo wanao watakuja kukucheka na kuudharau kimoyomoyo!
 
Naamini wewe ni kijana Tena mhangaikaji Sana unayepambana usimame kiuchumi! Kama ndivyo, unawezaje kumshangilia ujinga huu wa kuwaongezea hao wastaafu zawadi za makasri huku ukiukandamiza upande mwingine wa wastaafu ambao nawe umenufaika na huduma zao? Huoni kuwa huu ni ubaguzi wa makusudi? Na kwanini wajengewe ilihali walijijengea ikulu ndogo vijijini mwao? Usitetee matumizi mabaya ya Kodi zako vinginevyo wanao watakuja kukucheka na kuudharau kimoyomoyo!
Hata Mungu alishasema aliyenacho anaongezewa. Jitahidi uwe nacho then Mungu atakuongezea!
 
View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
wakati shule ya msingi mingoyo wanahaha kupata angalau mashimo matatu ya chookwa ajiliya wanafunzi 200 tu.
 
Dah kweli watanzania sisi aliyeturoga sijui ni nani aisee nimepitia coment nyingi hapa na sehemu mbalimbali kuhusu hili jambo la wastaafu marais kujengewa nyumba nimesikitika sana na nimegundua mambo kadhaa,
Kikubwa nilichogundua watanzania wengi tumejawa na wivu mbaya mno uliojengwa na umasikini wa familia zetu yaani tunaona mtu aliyefikia ngazi ya urais tunamchukulia poa tu hatumpi uthamaani kiasi hiki fikiria kama ndo wewe ni rais halafu usitendewe kama hiki wanachofanyiwa wastaafu wetu ? Shame on us. Kabisa
 
View attachment 1604009
View attachment 1604014
Rais Magufuli leo amemkabidhi Rais mstaafu wa awamu ya pili mzee Ali Hassan Mwinyi nyumba aliyojengewa na serikali masaki jijini Dsm.

Mzee Mwinyi amekuwa akiishi katika nyumba yake mwenyewe pale Mikocheni/ Msasani karibu na nyumbani kwa mwalimu Nyerere.

=====
Sheria inasema:

9.-(1) A leader who held the office of the President of the United Republic, shall upon ceasing to hold office, be granted:

(d) a furnished house containing not less than four bed rooms of which two rooms shall be self contained and shall contain-

(i) a furnished office;

(ii) a servant quarter;


THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT
BENEFITS ACT, 1999
Very Interesting...
 
Huu ni wizi wa pesa zetu walipa kodi. Mbona Mkapa hamkujengea nyumba Mwinyi na Kikwete hamkujengea nyumba Mkapa? Huu ni wizi na ubadhirifu mkubwa wa pesa za umma.
View attachment 1603958
Raisi mstaafu awamu ya pili akikabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali Masaki Dar Es Salaam
View attachment 1603960
Muheshimiwa Magufuli akikagua ujenzi wa nyumba ya raisi mstaafu awamu ya nne anayojengewa na serikali Kawe beach Dar Es Salaam
 
Naamini wewe ni kijana Tena mhangaikaji Sana unayepambana usimame kiuchumi! Kama ndivyo, unawezaje kumshangilia ujinga huu wa kuwaongezea hao wastaafu zawadi za makasri huku ukiukandamiza upande mwingine wa wastaafu ambao nawe umenufaika na huduma zao? Huoni kuwa huu ni ubaguzi wa makusudi? Na kwanini wajengewe ilihali walijijengea ikulu ndogo vijijini mwao? Usitetee matumizi mabaya ya Kodi zako vinginevyo wanao watakuja kukucheka na kuudharau kimoyomoyo!
Mimi sio kijana,na kwenye swala la kupambania uchumi wangu nilishatoka zamani sana.
Hakuna sehemu niliyoshangilia matumizi mabaya ya kodi zetu(ingawa sidhani hata kama unalipa kodi),nilichomshauri mwenzako ni kwamba atafute hela ajenge badala ya kusubiri serikali ianze kujengwa nyumba wastaafu wote Kama anavyoota,huku mkiwa busy kujibizana mitandaoni 24hrs.
Tatizo lenu vijana wa siku hizi mnapenda mteremko Sana,mnafikiri maisha ni kukaa na kutype maneno kwenye simu.Maisha Ni magumu kwelikweli kwa watoto wanaozaliwa kwenye familia duni,pambaneni na muache ujinga.

NB:Ushauri si lazima uuchukue, kama hauwapendezi mnaweza kuendelea kusubiri siku ambayo serikali itawajengea.
 
Back
Top Bottom