Ban Yisrael
Member
- Oct 3, 2020
- 59
- 78
Nyumba za nini.kwani walikuwa wapangaji uswahilini? Wao tembo? ( in Nyerere' s voice)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yan atajijengea mji kabisaMtu fulani anatafuta justification ya yeye kujijengea hekalu.
Chadema wakati wa mijadala kama hii huwa wanatoka Bungeni wacha tuendelee na wenye haja ya kubaki Bungeni. Je, unakumbuka wabunge waliopitisha hilo azimio na sheria kupita? Mimi sioni shida waliopita kabla ya JPM walishindwa kuitekeleza lakini sasa hivi tuna Chuma pale Ikulu ambacho kinasimamia nidhamu. Sisi ni tajiri na uwezo tunao tanzania kumenoga rudini nyumbani mlio nje.Sheria zenyewe hizi zinapitishwa kimya kimya na wabunge wa ccm. Wazee wa ndiyoooo..
I am interested to read the ACT about, CIVIL SERVICE that is THE CIVIL SERVICE RETIREMENT BENEFITS ACT,(YEAR).THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT
BENEFITS ACT, 1999
Hili swali linajirudia ilhali kuna mjuvi keshajibu; Mwl alijengewa na jeshi kabla hiyo sheria yenu ya 1999 kupitishwa.Mwalimu amejengewa Butiama kabla ya kufariki
Yan atajijengea mji kabisa
Upigaji uliozidi kipimoMaana yake nini
Daah! Kweli hawa ndio wanakula keki ya taifa. Sisi wengine tunasikindiza tuChadema wakati wa mijadala kama hii huwa wanatoka Bungeni wacha tuendelee na wenye haja ya kubaki Bungeni. Je, unakumbuka wabunge waliopitisha hilo azimio na sheria kupita? Mimi sioni shida waliopita kabla ya JPM walishindwa kuitekeleza lakini sasa hivi tuna Chuma pale Ikulu ambacho kinasimamia nidhamu. Sisi ni tajiri na uwezo tunao tanzania kumenoga rudini nyumbani mlio nje.
Kwa hiyo ya Oysterbay kairudisha kachukua ya Masaki?
Au ya Oysterbay yake bado, kaongezewa ya Masaki?
Hata ukiwa na nyumba yako serikali inatakiwa ikujengee ndio stahiki zaoNyumba za nini.kwani walikuwa wapangaji uswahilini? Wao tembo? ( in Nyerere' s voice)
Majungu hayo waliopanga hawa hapa chini.Ndio maana Mungu mwenye enzi alimuokoa na kifo licha ya kupigwa risasi 16
Kufutwa hadi akidi ya wabunge itimieHii sheria haiko sawa. Hii ni fedha ya mtanzania anayevuja jasho na kulipa kodi halafu yeye hafaidiki lakini wale wenye nacho ndio wanufaika. Hapana ifutwe haraka
kila usiyekubaliana au kakuzidi kihoja anakula keki ya taifa bure? Je, umepitia mimi nilikopita? Je, unafahamu nafanya nini? Wacha umbeya? Ukweli ni mchungu kama pilipili manga. Tanzania ni ya Watanzania wote wote tunapewa haki sawa kikatiba tuache wivu!Daah! Kweli hawa ndio wanakula keki ya taifa. Sisi wengine tunasikindiza tu
Mkuu peleka hoja Bungeni ikabadilishwe, as it is right now, there is nothing you can do. JPM is implementing this law.Hii sheria haiko sawa. Hii ni fedha ya mtanzania anayevuja jasho na kulipa kodi halafu yeye hafaidiki lakini wale wenye nacho ndio wanufaika. Hapana ifutwe haraka
Pepo inaanza dunianiAiseeh, mishahara minono isiyokatwa kodi malupu lupu ndo usiulize matibu bure zawadi ndo usiseme bado ajengewe jumba. Madaraka matamu aiseeh. Hata kumkosoa aliyepo madarakani pindi akoseapo watangulizi hawawezi.
Safi sana tena sana, sasa turudi kwenye hiyo hiyo sheria, vp inasemaje juu ya nyongeza ya mishahara na kupandishwa madaraja kwa watumishi wa umma?Ipo kisheria kama wengine wanavyopewa magari baada ya kustaafu
Mtumishi anatakiwaSafi sana tena sana, sasa turudi kwenye hiyo hiyo sheria, vp inasemaje juu ya nyongeza ya mishahara na kupandishwa madaraja kwa watumishi wa umma?